GET /api/v0.1/hansard/entries/?format=api&page=138709
HTTP 200 OK
Allow: GET, POST, HEAD, OPTIONS
Content-Type: application/json
Vary: Accept

{
    "count": 1608389,
    "next": "http://info.mzalendo.com/api/v0.1/hansard/entries/?format=api&page=138710",
    "previous": "http://info.mzalendo.com/api/v0.1/hansard/entries/?format=api&page=138708",
    "results": [
        {
            "id": 1403501,
            "url": "http://info.mzalendo.com/api/v0.1/hansard/entries/1403501/?format=api",
            "text_counter": 148,
            "type": "scene",
            "speaker_name": "",
            "speaker_title": "",
            "speaker": null,
            "content": "emergency relief supplies."
        },
        {
            "id": 1403502,
            "url": "http://info.mzalendo.com/api/v0.1/hansard/entries/1403502/?format=api",
            "text_counter": 149,
            "type": "speech",
            "speaker_name": "Sen. Chute",
            "speaker_title": "",
            "speaker": {
                "id": 13583,
                "legal_name": "Chute Mohamed Said",
                "slug": "chute-mohamed-said"
            },
            "content": "The electronic version of the Senate Hansard Report is for information purposesonly. A certified version of this Report can be obtained from the Director, Hansard and AudioServices, Senate."
        },
        {
            "id": 1403503,
            "url": "http://info.mzalendo.com/api/v0.1/hansard/entries/1403503/?format=api",
            "text_counter": 150,
            "type": "speech",
            "speaker_name": "Sen. Chute",
            "speaker_title": "",
            "speaker": {
                "id": 13583,
                "legal_name": "Chute Mohamed Said",
                "slug": "chute-mohamed-said"
            },
            "content": "Kaunti kama ya Marsabit, katika supplementary budget, pesa ya maendeleo imebadilishwa na ikapelekwa kwa chakula na wakati mwingine, inakuwa shilingi milioni mia sita, saba au nane. Sababu ya hio pesa kubadilishwa kutoka kwa development fund na kupelekwa kwa relief supplies ni kwa sababu, kwa relief supplies, hakuna ile tenda ya kawaida inafanywa sababu ni emergency supplies procurement system . Hii ni njia ambayo inafanya ofisi ya gavana kuitisha wakandarasi bila kupitia njia ya tenda ya kawaida. Bw. Naibu wa Spika, tunaambiwa Maseneta ni watu wanatakikana kusaidia ugatuzi katika nchi hii. Ugatuzi ni lazima ufutwe na maendeleo. Ukiangalia Kaunti zingine na sitataja majina hapa, maendeleo yao ya ujenzini 6 per cent peke yake. Mimi ni mwanachama wa Kamati ya Ugatuzi na nilishtuka sana kuona makaunti yana 6 per cent. Kama unatumia 94 per cent kufanyisha kazi 6 per cent, kweli ugatuzi bado kufanya kazi. Ninaona ni kama hatufanyi kazi ya ugatuzi vizuri. Ninamshukuru sana Seneta wa Narok kwa kuleta Hoja hii. Ukitazama kaunti ambazo magavana wao ni Waisilamu, wao husema wanaenda Hajj na Umra . Pia wao wanasali mara tano kwa siku na wanalipa sadaka na Zakat . Lakini, ukiangalia kaunti zao, hizo ndizo kaunti zinarudisha ugatuzi nyuma. Hizo ndizo kaunti ambazo nina ufisadi mkubwa. Wao wanadai kaunti zao ni arid na hazina mvua ya kutosha. Wao hurudisha pesa za kujenga kwa kaunti kwa chakula. Bw. Naibu wa Spika, ukienda---"
        },
        {
            "id": 1403504,
            "url": "http://info.mzalendo.com/api/v0.1/hansard/entries/1403504/?format=api",
            "text_counter": 151,
            "type": "speech",
            "speaker_name": "Sen. Kathuri",
            "speaker_title": "Naibu wa Spika",
            "speaker": {
                "id": 13590,
                "legal_name": "Murungi Kathuri",
                "slug": "murungi-kathuri"
            },
            "content": " Samahani kidogo, Sen. Chute. Kuna hoja ya nidhamu kutoka kwa Seneta wa Uasin Gishu."
        },
        {
            "id": 1403505,
            "url": "http://info.mzalendo.com/api/v0.1/hansard/entries/1403505/?format=api",
            "text_counter": 152,
            "type": "speech",
            "speaker_name": "Sen. Mandago",
            "speaker_title": "",
            "speaker": {
                "id": 13577,
                "legal_name": "Kiplagat Jackson Mandago",
                "slug": "kiplagat-jackson-mandago"
            },
            "content": "Bw. Naibu wa Spika, kulingana na Kanuni za Bunge Nambari 105, je, Seneta wa Marsabit ana stakabadhi zozote kuonyesha Muisilamu ama gavana Muisilamu wana uhusiano wowote na ufisadi?"
        },
        {
            "id": 1403506,
            "url": "http://info.mzalendo.com/api/v0.1/hansard/entries/1403506/?format=api",
            "text_counter": 153,
            "type": "speech",
            "speaker_name": "Sen. Kathuri",
            "speaker_title": "Naibu wa Spika",
            "speaker": {
                "id": 13590,
                "legal_name": "Murungi Kathuri",
                "slug": "murungi-kathuri"
            },
            "content": " Sen. Chute?"
        },
        {
            "id": 1403507,
            "url": "http://info.mzalendo.com/api/v0.1/hansard/entries/1403507/?format=api",
            "text_counter": 154,
            "type": "speech",
            "speaker_name": "Sen. Chute",
            "speaker_title": "",
            "speaker": {
                "id": 13583,
                "legal_name": "Chute Mohamed Said",
                "slug": "chute-mohamed-said"
            },
            "content": "Bw. Naibu wa Spika, mwenzangu ameteleza kidogo. Sijasema iko dini inaonyesha mwingine ni mkora. Lakini, ninasema wale watu tungeheshimu kama Waisilamu, wanatoa sadaka na wanaenda Hajj, wangefaa kuhakikisha kaunti zao zinafanya kazi vilivyo. Ugatuzi unakufa. Nilienda manyatta fulani. Nikaonyeshwa kaburi na nikaambiwa huyu mzee amekufa akidai kaunti. Kuna watu wengi sana wamepotesha maisha yao na siyo kwa sababu ya ugonjwa au shida nyingine. Ni kwa sababu alienda kuomba pesa kwa benki, familia au marafiki zake ili aende kufanya kazi ya kaunti. Bw. Naibu wa Spika, pesa inakaa miaka tano bila kutolewa au kulipwa. Ninakubaliana na Sen. Olekina. Ningeulizwa leo, maendeleo yoyote yale yasifanywe ili kwanza walipe zile pesa zote au pending bills watu wanadai serikali za kaunti na Serikali Kuu. Haijalishi serikali ni gani. Kama ni ya kaunti am ani Serikali Kuu ya Kenya. Saa hizi ukipatikana na Kenya Revenue Authority (KRA) na hujalipa ushuru, unapigwa penalty. Sasa, Serikali inakupiga penalty na wakati ule Serikali inakataa kulipa raia pesa zao, watalipa hio penalty kutoka wapi na watauliza nani? Mahali nimetoka, umaskini wa watu uko hali ya juu. Saa hizi kazi yeyote inayofanywa katika Kaunti ya Marsabit, wale wenyeji huko nyumbani hawafanyi hiyo kazi. Ni watu kutoka nje wanakuja kufanya kazi na saa zingine wanaleta chakula ya The electronic version of the Senate Hansard Report is for information purposesonly. A certified version of this Report can be obtained from the Director, Hansard and AudioServices, Senate."
        },
        {
            "id": 1403508,
            "url": "http://info.mzalendo.com/api/v0.1/hansard/entries/1403508/?format=api",
            "text_counter": 155,
            "type": "speech",
            "speaker_name": "Sen. Chute",
            "speaker_title": "",
            "speaker": {
                "id": 13583,
                "legal_name": "Chute Mohamed Said",
                "slug": "chute-mohamed-said"
            },
            "content": "msaada huko. Ile pesa inabaki huko ni ile ya watu wa kuteremsha hiyo mizigo wanalipwa, peke yake. Bw. Naibu wa Spika, kama ni shilingi mia mbili, ile pesa inabaki huko, ni shilingi elfu kumi ya kuteremsha hiyo mizigo peke yake na shilingi 199,990,000 inarudi hapa Nairobi. Hata pesa hakuna kwa miji kwa sababu pesa zote zimerudi Nairobi, vile imetumwa kutoka Nairobi, inarudi Nairobi. Lakini wale watu masikini kidogo wako na milioni moja au mbili; na wamefanya kazi na kaunti, mpaka leo, miaka tano au sita baadaye, hawajapata pesa zao. Ningependa hata Mhe. Rais wetu, akae afikirie raia wake, kwa sababu nchi zingine za Ulaya ama Saudi Arabia, wale wanaopanda ngano huko Saudi Arabia, serikali inawapa msaada. Kama ngano ingekuwa ni shilingi elfu moja, serikali itawapa shilingi mia mbili ili wauze ngano yao, shilingi elfu moja, mia mbili. Bw. Naibu wa Spika, lakini serikali yetu inaiba kutokwa kwa raia wa Kenya. Raia anapatia serikali deni na serikali hailipi deni. Saa hio serikali ya nchi nyingine inasaidia raia wake na hii ya Kenya inamaliza raia wake. Sen. Olekina amefanya kazi nzuri sana na ninaunga mkono. Ikiwezekana, tuweke sheria ya kwamba, hakuna maendeleo yatafanyika katika makaunti ama hata kwa nchi, mpaka wale watu wanalia kwa saa hii walipwe pesa zao. Nikimalizia, ukiangalia makaunti, kuna watu wanafanya kazi kwa niaba ya magavana wa hizo kaunti. Kampuni zingine zikifanya kazi, zinalipwa pesa hata kwa muda wa wiki moja. Wale raia wa kawaida wanaenda kujaza tenda na wakijaza hizo tenda, wanaenda kutafuta pesa zao na hawapati hizo pesa hata kwa miaka kumi. Hizi kampuni ni kubwa na zinafanya kazi ya milioni mia mbili, tatu au nne. Majina yao yanatakikana yaletwe mbele ya Seneti wafanyiwe uchunguzi. Kuna watu wanaandikisha makampuni leo na kesho yake, wanajaza tenda ya kaunti. Siku ya tatu, anapewa kazi ya milioni mia mbili na baada ya wiki mbili, analipwa pesa. Bw. Naibu wa Spika, hio pesa baada ya wiki mbili, inatoka kwa hio akaunti na haijulikani mahali inaenda. Inatakikana hata hawa watu wachunguzwe hiyo kazi yao walianza lini na walifanya na kampuni gani na imetoka hiyo akaunti ikaenda akaunti gani."
        },
        {
            "id": 1403509,
            "url": "http://info.mzalendo.com/api/v0.1/hansard/entries/1403509/?format=api",
            "text_counter": 156,
            "type": "speech",
            "speaker_name": "Hon. Kingi",
            "speaker_title": "The Speaker",
            "speaker": null,
            "content": " Proceed, Sen. Ogola."
        },
        {
            "id": 1403510,
            "url": "http://info.mzalendo.com/api/v0.1/hansard/entries/1403510/?format=api",
            "text_counter": 157,
            "type": "speech",
            "speaker_name": "Sen. Ogola",
            "speaker_title": "",
            "speaker": null,
            "content": "Thank you, Mr. Deputy Speaker, Sir. I support the Motion by my senior, the Senator for Narok, Sen. Olekina. Pending bills is a very thorny issue in this country. If you look at the copies of the Local Purchase Orders (LPOs) and Local Supply Orders (LSOs) that are given to suppliers or contractors, behind them the regulations are provided that you will not grant work if you do not have that money in your budget. Therefore, with those regulations in place, it was intended that works are given when funds are available. It then bothers all of us why we continue piling pending bills. Recently, we saw an exchange between a service provider of Nairobi City County and the Governor of Nairobi County. It was purported that there was a request for some down payment of some bill. This could be the reason why we have pending bills in counties. Some are not paid because people who have done such work are not ready to part with some money. The electronic version of the Senate Hansard Report is for information purposesonly. A certified version of this Report can be obtained from the Director, Hansard and AudioServices, Senate."
        }
    ]
}