HTTP 200 OK
Allow: GET, POST, HEAD, OPTIONS
Content-Type: application/json
Vary: Accept
{
"count": 1608389,
"next": "http://info.mzalendo.com/api/v0.1/hansard/entries/?format=api&page=138805",
"previous": "http://info.mzalendo.com/api/v0.1/hansard/entries/?format=api&page=138803",
"results": [
{
"id": 1404451,
"url": "http://info.mzalendo.com/api/v0.1/hansard/entries/1404451/?format=api",
"text_counter": 235,
"type": "speech",
"speaker_name": "Kisauni, ODM",
"speaker_title": "Hon. Rashid Bedzimba",
"speaker": {
"id": 13383,
"legal_name": "Ali Menza Mbogo",
"slug": "ali-menza-mbogo"
},
"content": " Asante sana Mhe. Naibu Spika kwa kunipa fursa hii kuzungumzia swala la National Land Commission . Ni vizuri sana kwa kitengo hiki. Katika taifa la Kenya, tatizo kubwa linalolikumba ni swala la ardhi. Na wao haswa walikuwa wamekuja kwa sababu ya kutatua uzito au matatizo ya ardhi yaliyotokea kwa kipindi cha nyuma. Kikubwa ni kwamba ningeomba wapewe nguvu zaidi ili kusudi wawe wanaweza kutatua matatizo. Sio kusikiza halafu wanawacha. Kuna ardhi nyingi ambazo wenyewe hawako, wako Oman, sehemu za bara la Waarabu, wengine wako Ulaya, lakini ardhi zile ziko hapa na watu bado wanaambiwa ni maskwota. Mtu anakuja tu na kusema nimepewa kibali na korti kusimamia mtu lakini yule mtu mwenye ardhi halipi kodi ya kaunti wala chochote. Hii tume ya ardhi ipewe nguvu ili ikigundua kwamba hii ardhi mwenyewe hayuko, wale wanaoishi pale waweze kugawanyiwa. Wengi wamelia kwa matatizo ya ardhi. Wamejenga nyumba, wamekaa kwa kipindi kirefu, halafu inatokea ghafla wanakuja na kuwavunjia majumba yao. Hii Tume ya Ardhi ya Kitaifa izidi kupewa nguvu kisheria ili wakati wanapogundua kwamba hili jambo kweli limefanyiwa katika dhulma ya kihistoria, waweze kuwagawanyia wale walioko pale. Pwani nzima kulitokea historia ambazo ni za kidhulma. Hata kule juu upande wa bara wana shida kama hiyo. Kwa hivyo, nimesimama pia kupongeza na kuunga mkono tume hii izidi kupewa nguvu na uwezo wa kuweza kutatua matatizo. Naunga mkono. Asante sana Mhe. Naibu Spika."
},
{
"id": 1404452,
"url": "http://info.mzalendo.com/api/v0.1/hansard/entries/1404452/?format=api",
"text_counter": 236,
"type": "speech",
"speaker_name": "Hon. Deputy Speaker",
"speaker_title": "",
"speaker": null,
"content": "The Hon. Member for Buuri, Hon. Mugambi. The Hon. Member for Kaloleni, Hon. Kahindi Katana."
},
{
"id": 1404453,
"url": "http://info.mzalendo.com/api/v0.1/hansard/entries/1404453/?format=api",
"text_counter": 237,
"type": "speech",
"speaker_name": "Kaloleni, ODM",
"speaker_title": "Hon. Paul Katana",
"speaker": null,
"content": " Asante Mhe. Naibu Spika kwa kunipa nafasi niweze kuunga mkono marekebisho ya sheria ya Tume ya Ardhi. Swala la ardhi ni nyeti ambalo limetoa tumbo joto katika nchi yetu. Pwani imeathirika sana na mambo ya mashamba. Watu wengi wameitwa maskwota katika ardhi ambayo wamezaliwa na kukaa kwa miaka zaidi ya hamsini. Eneo langu la Bunge la Kaloleni halijasazwa. Katika sehemu za Shangia na Barracks, watu walikuja wakatolewa na kupelekwa mahali kwingine. Kufika kule, ile ardhi walioahidiwa wakaambiwa hakuna, wakarudi pale. Tume ya Ardhi ndio ilikuwa tegemeo la Wakenya ambao wamepoteza mashamba yao. Tunataka kuipatia nguvu, kuwe na muda wa wao kufanya uchunguzi wa dhulma za mashamba. Iweze kupatiwa muda wa kuchunguza. Inapobainika kwamba watu walidhulumiwa, waweze kurejeshewa ardhi yao. Mhe. Naibu Spika, ni jambo la kutamausha kwamba siku hizi mabwenyenye ambao wamekuwa wakichukua ardhi za watu wachochole ambao hawawezi kuenda mahakamani kujitetea, wametumia mahakama kama njia moja ya wao kujipatia ardhi kinyume cha sheria. Kumekuwa na uvunjaji wa manyumba. Inawezekanaje mtu ameketi kwa ardhi, amejenga nyumba yake, ameishi na familia yake kwa muda wa miaka ishirini, thelathini au hamsini na hakuna mtu anayesema hii ardhi ni yangu, halafu mtu anatokea mahali akisema ana stakabadhi? Kumekuwa na utepetevu katika idara ya ardhi. Tunataka hii Tume ya Ardhi iweze kuhakikisha kwamba inafanya haki. The electronic version of the Official Hansard Report is for information purposesonly. A certified version of this Report can be obtained from the Hansard Editor"
},
{
"id": 1404454,
"url": "http://info.mzalendo.com/api/v0.1/hansard/entries/1404454/?format=api",
"text_counter": 238,
"type": "speech",
"speaker_name": "Kaloleni, ODM",
"speaker_title": "Hon. Paul Katana",
"speaker": null,
"content": "Tukiwa pia tunataka kuipa nguvu ili iweze kuchunguza, kuna taabu pia ndani. Niko katika Kamati ya Ardhi ya Bunge. Kumekuwa na tuhuma nyingi sana kwamba tume huwa saa nyingine haiangalii yule mtu mdogo. Inaangalia wale watu wana uwezo. Kufikia sasa, tangu"
},
{
"id": 1404455,
"url": "http://info.mzalendo.com/api/v0.1/hansard/entries/1404455/?format=api",
"text_counter": 239,
"type": "scene",
"speaker_name": "",
"speaker_title": "",
"speaker": null,
"content": "Standard Gauge Railway (SGR)"
},
{
"id": 1404456,
"url": "http://info.mzalendo.com/api/v0.1/hansard/entries/1404456/?format=api",
"text_counter": 240,
"type": "speech",
"speaker_name": "Kaloleni, ODM",
"speaker_title": "Hon. Paul Katana",
"speaker": null,
"content": "awamu ya kwanza ianze, kuna watu hadi leo hawajalipwa fidia. Ukiangalia pesa zao ni kidogo. Wale matajiri ambao walikuwa katika ardhi hizo wote walilipwa. Kuna utepetevu ndani ya Tume ya Ardhi. Tunataka kuwapa nguvu lakini pia watendee wale Wakenya wanyonge haki. Wakiwa watafanya uchunguzi, tunataka tume ya ardhi iweze kusajili zile kesi zote ambazo watakuwa wamepatiwa na wananchi katika gazeti rasmi la serikali ili tujue ni ardhi gani na sehemu gani ambao wanafanya uchunguzi. Uchunguzi ukiisha, tunataka wakitoa maoni yao, yazingatiwe na yapelekwe kwenye mahakama. Ndio ipitishwe na mahakama kwamba ardhi ile iweze kurejeshewa wenyewe. Tume ya Ardhi ikishirikiana na wizara wanaweza kutatua taabu za ardhi hapa nchini. Lakini shida ni maafisa ambao wako ndani ya Tume ya Ardhi na wengine wako katika wizara. Wanagandamiza na kuwadhulumu wananchi wadogo ambao kule mashinani hawawezi kutoa pesa ya hatimiliki zao. Ninaunga mkono urekebishaji wa sheria hii kusema kwamba tume ya ardhi ipewe muda wa kuweza kuchunguza dhulma za kihistoria za ardhi. Lakini pia nao wawe wazi kuhakikisha wanatendea haki nchi hii kwa kuhakikisha kwamba wale wanyonge ambao ardhi zao zimechukuliwa kimakosa ziweze kurejeshwa. Asante Mhe. Naibu Spika kwa kunipa wakati huu. Asante Mhe. Owen kwa kuhakikisha kwamba umeleta Mswada huu wa kufanya marekebisho kwa Tume ya Ardhi."
},
{
"id": 1404457,
"url": "http://info.mzalendo.com/api/v0.1/hansard/entries/1404457/?format=api",
"text_counter": 241,
"type": "speech",
"speaker_name": "Hon. Deputy Speaker",
"speaker_title": "",
"speaker": null,
"content": "Member for Seme, Hon. (Dr) James Nyikal."
},
{
"id": 1404458,
"url": "http://info.mzalendo.com/api/v0.1/hansard/entries/1404458/?format=api",
"text_counter": 242,
"type": "speech",
"speaker_name": "Seme, ODM",
"speaker_title": "Hon (Dr) James Nyikal",
"speaker": null,
"content": " Thank you, Hon. Deputy Speaker for giving me the opportunity to contribute to this Bill. I start by supporting this Bill. The Bill seeks to restore the authority of the National Land Commission through the National Land Act of reviewing the grant where there is concern or where they petition that these grants were not granted in line with the law or they were injustices that were involved. Therefore, it seeks to remove the five-year time limit that was previously imposed on the Commission by the Act. Additionally, the amendment to Section 14(9) aims to remove the requirement for the Commission to seek permission from Parliament after the five years have lapsed. The amendment to Section 15(3) seeks to remove the criteria or the conditions that had to be met for these petitions. Lastly, the amendment to Section 15(11) aims to remove the limitation that automatically repealed the entire section after 11 years. To this extent, I support this Bill as it aims to address historical land injustices that have persisted for a long time. However, I am concerned that the removal of the five-year limitation may lead to an overkill. This is because the Commission will have the power to review land grants indefinitely, even after a review has already been conducted. Additionally, another person may come forward many years later and request a review of the same land grant. When the five-year restriction was put in place, subsection (9) gave Parliament the power to allow the Commission to review those grants, even after the five years. Therefore, the expiry of the five years is not a complete loss, as the Commission can still take action if required. In my view, if we pass all three amendments, the review of grants based on historical injustices will continue indefinitely. This is not necessarily a bad thing, but it means that the restrictions provided by Section 15(3) will be removed. Therefore, anyone can petition for any land, at any time, without any restrictions. This fails to address the issue we are trying to correct because someone could request a review even after it has been completed. I have discussed this with Hon. Baya, and the best solution is to extend the time limit from five years to 15 years and preserve the authority of Parliament to allow petitions from the Commission. This will provide some protection. The electronic version of the Official Hansard Report is for information purposesonly. A certified version of this Report can be obtained from the Hansard Editor"
},
{
"id": 1404459,
"url": "http://info.mzalendo.com/api/v0.1/hansard/entries/1404459/?format=api",
"text_counter": 243,
"type": "speech",
"speaker_name": "Seme, ODM",
"speaker_title": "Hon (Dr) James Nyikal",
"speaker": null,
"content": "Furthermore, I advise that Section 15(3)(e) should not be removed. This section ensures that anyone seeking a review of grants must have valid and substantiated reasons. Otherwise, it can be a free-for-all and can open up a Pandora’s Box. However, I support the removal of Section 15(11), which limits the review process to only 11 years. This amendment would ensure that the review process is ongoing, even after 15 years. If necessary, we can still rely on Section 14(9), which allows the NLC to petition Parliament in case of any issues. By removing the time limit, we can ensure that the review process continues indefinitely, even after 15 years. This would be a much safer option than removing everything entirely, as the land issue is a sensitive and emotional topic. Now that there are no restrictions, one does not need to petition anybody or give reasons but just ask the NLC to review the grants. Hon. Deputy Speaker, I support the Bill but with concerns. I will probably bring amendments to the Floor to actualise the position I am proposing. Thank you."
},
{
"id": 1404460,
"url": "http://info.mzalendo.com/api/v0.1/hansard/entries/1404460/?format=api",
"text_counter": 244,
"type": "speech",
"speaker_name": "Hon. Deputy Speaker",
"speaker_title": "",
"speaker": null,
"content": "The Member for Marakwet West."
}
]
}