HTTP 200 OK
Allow: GET, POST, HEAD, OPTIONS
Content-Type: application/json
Vary: Accept
{
"count": 1608389,
"next": "http://info.mzalendo.com/api/v0.1/hansard/entries/?format=api&page=138982",
"previous": "http://info.mzalendo.com/api/v0.1/hansard/entries/?format=api&page=138980",
"results": [
{
"id": 1406221,
"url": "http://info.mzalendo.com/api/v0.1/hansard/entries/1406221/?format=api",
"text_counter": 147,
"type": "scene",
"speaker_name": "",
"speaker_title": "",
"speaker": null,
"content": "Second Reading"
},
{
"id": 1406222,
"url": "http://info.mzalendo.com/api/v0.1/hansard/entries/1406222/?format=api",
"text_counter": 148,
"type": "other",
"speaker_name": "",
"speaker_title": "",
"speaker": null,
"content": "THE INDEPENDENT ELECTORAL AND BOUNDARIES COMMISSION BILL (National Assembly Bill No. 10 of 2024)"
},
{
"id": 1406223,
"url": "http://info.mzalendo.com/api/v0.1/hansard/entries/1406223/?format=api",
"text_counter": 149,
"type": "scene",
"speaker_name": "",
"speaker_title": "",
"speaker": null,
"content": "(Moved by Hon. Kimani Ichung’wah on 23.4.2024)"
},
{
"id": 1406224,
"url": "http://info.mzalendo.com/api/v0.1/hansard/entries/1406224/?format=api",
"text_counter": 150,
"type": "scene",
"speaker_name": "",
"speaker_title": "",
"speaker": null,
"content": "(Resumption of debate interrupted on 23.4.2024)"
},
{
"id": 1406225,
"url": "http://info.mzalendo.com/api/v0.1/hansard/entries/1406225/?format=api",
"text_counter": 151,
"type": "speech",
"speaker_name": "Hon. Speaker",
"speaker_title": "",
"speaker": null,
"content": "Who was on the Floor? Hon. Tom Kajwang’ was on the Floor. He does not seem to be here; the opportunity is forfeited. Hon. Mishi Mboko."
},
{
"id": 1406226,
"url": "http://info.mzalendo.com/api/v0.1/hansard/entries/1406226/?format=api",
"text_counter": 152,
"type": "speech",
"speaker_name": "Likoni, ODM",
"speaker_title": "Mhe. Mishi Mboko",
"speaker": null,
"content": " Asante sana, Mhe. Spika. Nimesimama kuunga mkono Mswada huu wa mambo ya Tume ya Uchaguzi. Mswada unasema kwamba kutakuwa na upanuzi wa jopo la uteuzi wa Tume ya Uchaguzi kutoka watu saba mpaka watu tisa. Hii italeta watu zaidi ambao wana taaluma mbalimbali kushirikiana kuhusu mambo ya uchaguzi katika taifa letu la Kenya. Pia itawezesha kutoa zile tofauti ambazo zimekuwa hapo mbele ama yale malalamiko ambayo yamekuwa, haswa tukizingatia vile ile jopo liliundwa. Baada ya watu kushikana pamoja na kuzungumza ili kupata uwiano, ni vyema tuwe na hao watu tisa katika jopo ili tupate taaluma tofauti tofauti na tuwe na uwazi zaidi. The electronic version of the Official Hansard Report is for information purposesonly. A certified version of this Report can be obtained from the Hansard Editor"
},
{
"id": 1406227,
"url": "http://info.mzalendo.com/api/v0.1/hansard/entries/1406227/?format=api",
"text_counter": 153,
"type": "speech",
"speaker_name": "Likoni, ODM",
"speaker_title": "Mhe. Mishi Mboko",
"speaker": null,
"content": "Jambo la pili, Mswada huu pia unazungumzia mchakato wa mapito wa mipaka ya uchaguzi. Tunajua kila baada ya muda fulani lazima kuwe na mchakato wa mapito ya uchaguzi ili tuangalie mipaka ya uchaguzi ili kuhakikisha usawa na kuzuia udanganyifu. Vile vile tunapozingatia suala kama hilo, tutahakikisha kwamba ile mipaka itakavyoamuliwa ndio itakayowekwa rasmi kwa mambo ya uchaguzi, ndiposa tuzuie mambo ya udanganyifu. Ibara 89 ya ripoti ya NADCO inazungumzia kufanya marekebisho ili kuhakikisha Bunge linaongeza muda ili Bunge lipate nafasi mwafaka ya kuzingatia mambo haya ya mipaka ya uchaguzi. Pia Mswada huu unazungumzia mchakato wa kufanya maamuzi kwa sababu kulikuwa na tetesi nyingi sana katika uchaguzi uliopita. Watu walikuwa wanashangaa kama uamuzi utafanywa na watu wachache au watu wengi au kwa kauli moja. Maamuzi sasa itakuwa ni kauli moja. Wakati wanataka kufanya maamuzi katika tume la uchaguzi, lazima iwe ni kwa kauli moja, ile kwa Kiingereza tunasema unanimously ama iwe kwa wingi wa wanatume. Waswahili wanasema ‘wengi wape’. Wale ambao watakuwa wengi kwa maamuzi ndiye watafanya maamuzi katika tume ya uchaguzi."
},
{
"id": 1406228,
"url": "http://info.mzalendo.com/api/v0.1/hansard/entries/1406228/?format=api",
"text_counter": 154,
"type": "scene",
"speaker_name": "",
"speaker_title": "",
"speaker": null,
"content": "[Spika (Mhe. Moses Wetang’ula) aliondoka kwa Kiti]"
},
{
"id": 1406229,
"url": "http://info.mzalendo.com/api/v0.1/hansard/entries/1406229/?format=api",
"text_counter": 155,
"type": "scene",
"speaker_name": "",
"speaker_title": "",
"speaker": null,
"content": "[Naibu Spika (Mhe. Gladys Boss) alichukua Kiti]"
},
{
"id": 1406230,
"url": "http://info.mzalendo.com/api/v0.1/hansard/entries/1406230/?format=api",
"text_counter": 156,
"type": "speech",
"speaker_name": "Likoni, ODM",
"speaker_title": "Mhe. Mishi Mboko",
"speaker": null,
"content": "Vile vile Mswada huu unazungumzia mageuzi ya uchaguzi. Kutakuwa na ukaguzi wa orodha ya wapiga kura na utazuia wafanyikazi wa tume ya uchaguzi kufanya uchaguzi katika vituo ambavyo havijawekwa kirasmi, ama kwa Kiingereza havijakuwa gazetted . Hapo nyuma kumekuwa na utesi Mwingi sana, hata ikaleta michafuko na sintofahamu ya kwamba pengine kuna sehemu ambazo hazikuwa zimewekwa rasmi na watu wakapiga kura pale na hesabu ikajumulishwa kinyume cha sheria. Mswada huu unazungumzia zile taratibu ambazo zitafuatwa kukagua orodha ya wapiga kura kinagaubaga na kuhakikisha kuwa vituo vya kupiga kura ni vile ambavyo vimewekwa kirasmi kupitia sheria na vinatambulika na wapiga kura na wale wanaopigiwa kura. Hiyo pia italeta uwajibikaji. Kuna marekebisho yale tuliyazungumzia mwaka wa 2023 ya kwamba kuna wakati mwingine wafanyikazi wa tume walikuwa wanakawia kutoa uamuzi kuhusu washindi ama kunakuwa na sintofahamu kuhusu idadi ya kura wanayopata. Mswada huu unazungumzia zile taratibu na vile vitakavyofuatiliwa na kwa wakati gani uamuzi lazima ufanywe, ama ile tunaita declaration of winners kwa lugha ya Kiingereza. Saa zingine nafafanua kwa lugha ya Kiingereza kidogo ili wenzangu waelewe vizuri. Nazungumzia hili kwa sababu kumekuwa na tetesi na malalamiko. Watu wengine wameenda kortini na kulalamika kwamba uchaguzi haukufanyika kwa taratibu ambazo zinatakikana. Imefikia watu kupigana katika vituo vya kupiga kura, haswa zile sehemu za kutangaza maamuzi yale ya mwisho ya wale ambao wameshinda. Katika kuleta mawiano katika taifa letu la Kenya baada ya uchaguzi na baada ya kuwa na michafuko mingi sana… Majina ya watu wengi yameharibika, kama Chebukati ambaye amelaumiwa kwa mambo mengi. Mengine ni ya kweli. Mengine labda ni ya kuongezwa. Lakini kulikuwa na sintofahamu kubwa sana mpaka ukaleta maandamano na mambo mengi sana katika taifa letu la Kenya. Hivyo basi ni wakati mwafaka wa kupiga msasa taratibu hizo kupitia Mswada huu ili tuone ya kwamba jopo hili la kuunda Tume la Uchaguzi litatengenezwa kwa njia ya uwiano. Wale ambao wanasimama kwa vyama vya kisiasa na wale ambao watasimama kwa wao binafsi bila kutegemea chama chochote watapata usawa na afueni katika mambo ya uchaguzi. Mambo ya uchaguzi yanaweza kutuweka sawa na amani au kutugawanya kwa misingi ya kisiasa au misingi ya vyama vya kisiasa au misingi ya kijamii na kuleta athari kubwa kwa amani katika taifa letu la Kenya. Nawapongeza wale wote waliochaguliwa katika jopo la NADCO ambao wameshirikiana sana na kuzungumzia kwa kinagaubaga suala hili la Tume ya Uchaguzi. The electronic version of the Official Hansard Report is for information purposesonly. A certified version of this Report can be obtained from the Hansard Editor"
}
]
}