HTTP 200 OK
Allow: GET, POST, HEAD, OPTIONS
Content-Type: application/json
Vary: Accept
{
"count": 1608389,
"next": "http://info.mzalendo.com/api/v0.1/hansard/entries/?format=api&page=148009",
"previous": "http://info.mzalendo.com/api/v0.1/hansard/entries/?format=api&page=148007",
"results": [
{
"id": 1498272,
"url": "http://info.mzalendo.com/api/v0.1/hansard/entries/1498272/?format=api",
"text_counter": 432,
"type": "speech",
"speaker_name": "Kilifi North, UDA",
"speaker_title": "Hon. Owen Baya",
"speaker": null,
"content": " Ahsante sana, Bwana Spika wa Muda. Ndugu yangu, Mhe Bady, anasema kwamba Wabunge watakapofika Mombasa, wasiende kuwalazimisha mabinti wao. Baadhi ya Wabunge wako na ndoa zao na kwa hivyo, hawawezi kuwanyemelea wasichana. Wanaenda Mombasa kushiriki kwenye michezo. Michezo hiyo itachezwa pale uwanjani mchana, na hamtakuwa na maneno mengine yanayowahusu wasichana. Sisi tutawapelekea pesa tu. Hawa Wabunge hawana haja, tamaa wala chochote kuhusiana na wasichana wa Mombasa. Hivyo basi, nataka kuwaambia wasichana wa Mombasa waje pale ili wapakulie wageni chakula na wafanye biashara zao. Yetu ni kuwaombea Mungu pekee. Ahsante."
},
{
"id": 1498273,
"url": "http://info.mzalendo.com/api/v0.1/hansard/entries/1498273/?format=api",
"text_counter": 433,
"type": "speech",
"speaker_name": "Mombasa County, ODM",
"speaker_title": "Hon. Zamzam Mohammed",
"speaker": null,
"content": " On a point of order, Hon. Temporary Speaker."
},
{
"id": 1498274,
"url": "http://info.mzalendo.com/api/v0.1/hansard/entries/1498274/?format=api",
"text_counter": 434,
"type": "speech",
"speaker_name": "Hon. Farah Maalim",
"speaker_title": "The Temporary Speaker",
"speaker": {
"id": 16,
"legal_name": "Farah Maalim Mohamed",
"slug": "farah-maalim"
},
"content": " Mhe. Zamzam, hoja yako ya nidhamu ni ipi?"
},
{
"id": 1498275,
"url": "http://info.mzalendo.com/api/v0.1/hansard/entries/1498275/?format=api",
"text_counter": 435,
"type": "speech",
"speaker_name": "Mombasa County, ODM",
"speaker_title": "Hon. Zamzam Mohammed",
"speaker": null,
"content": " Mhe Spika wa Muda, nafikiri Mhe. Owen Baya amemuelewa vibaya Mhe. Bady. Sisi tuko na tabia ya kuwalinda watoto wetu. Pengine kuna mtu aliyekuwa na wazo tofauti kando na michezo. Njooni Mombasa, na mtakapofika, mjifurahishe vilivyo. Kuna kaimati, mahamri na mambo mengi mazuri. Watoto wetu watawahudumia kwa tabasamu. Do not take advantage of them maana nao pia ni watoto wetu. Baadhi yao wameolewa na wako sawa. Mje mfurahi kisha mrudi nyumbani. Ahsante sana, Mhe. Spika wa Muda."
},
{
"id": 1498276,
"url": "http://info.mzalendo.com/api/v0.1/hansard/entries/1498276/?format=api",
"text_counter": 436,
"type": "scene",
"speaker_name": "",
"speaker_title": "",
"speaker": null,
"content": "(Laughter)"
},
{
"id": 1498277,
"url": "http://info.mzalendo.com/api/v0.1/hansard/entries/1498277/?format=api",
"text_counter": 437,
"type": "speech",
"speaker_name": "Mombasa County, ODM",
"speaker_title": "Hon. Zamzam Mohammed",
"speaker": null,
"content": "The electronic version of the Official Hansard Report is for information purposesonly. A certified version of this Report can be obtained from the Hansard Editor."
},
{
"id": 1498278,
"url": "http://info.mzalendo.com/api/v0.1/hansard/entries/1498278/?format=api",
"text_counter": 438,
"type": "speech",
"speaker_name": "Tigania West, UDA",
"speaker_title": "Hon. (Dr) John Mutunga Kanyuithia",
"speaker": null,
"content": " On a point of order, Hon. Temporary Speaker."
},
{
"id": 1498279,
"url": "http://info.mzalendo.com/api/v0.1/hansard/entries/1498279/?format=api",
"text_counter": 439,
"type": "speech",
"speaker_name": "Hon. Farah Maalim",
"speaker_title": "The Temporary Speaker",
"speaker": {
"id": 16,
"legal_name": "Farah Maalim Mohamed",
"slug": "farah-maalim"
},
"content": " Daktari Mutunga."
},
{
"id": 1498280,
"url": "http://info.mzalendo.com/api/v0.1/hansard/entries/1498280/?format=api",
"text_counter": 440,
"type": "speech",
"speaker_name": "Tigania West, UDA",
"speaker_title": "Hon. (Dr) John Mutunga Kanyuithia",
"speaker": null,
"content": " Hon. Temporary Speaker, I am very disappointed that we are discussing an issue of no consequence in this House. Those games were taken to Mombasa deliberately because Kenya has to showcase to the East African countries, especially the East African Legislative Assembly (EALA), the kind of white sand we have at the Coast, hotels, recreation facilities and playing grounds. I sit in the Departmental Committee on Sports and Culture, and I can confirm that there is no mission - and that there has never been any inclination - to bring up that kind of thought. Such comments dishonour the Members of this House before the international community by making them imagine that we are going there to do anything else other than sports. Thank you very much."
},
{
"id": 1498281,
"url": "http://info.mzalendo.com/api/v0.1/hansard/entries/1498281/?format=api",
"text_counter": 441,
"type": "speech",
"speaker_name": "Hon. Farah Maalim",
"speaker_title": "The Temporary Speaker",
"speaker": {
"id": 16,
"legal_name": "Farah Maalim Mohamed",
"slug": "farah-maalim"
},
"content": " Dadangu, Mhe. Muge, nafasi ni yako. Utazungumza kwa lugha ya Kiswahili au Kingerereza?"
}
]
}