HTTP 200 OK
Allow: GET, POST, HEAD, OPTIONS
Content-Type: application/json
Vary: Accept
{
"count": 1608389,
"next": "http://info.mzalendo.com/api/v0.1/hansard/entries/?format=api&page=148076",
"previous": "http://info.mzalendo.com/api/v0.1/hansard/entries/?format=api&page=148074",
"results": [
{
"id": 1498942,
"url": "http://info.mzalendo.com/api/v0.1/hansard/entries/1498942/?format=api",
"text_counter": 536,
"type": "speech",
"speaker_name": "Mombasa County, ODM",
"speaker_title": "Hon. Zamzam Mohammed",
"speaker": null,
"content": " Ahsante sana, Mhe. Naibu Spika. Ningependa kumuuliza Waziri swali ambalo haswa limenileta hapa Bungeni leo. Hapa Bunge, tulipitisha kuwa factory ya korosho ifufuliwe na ianze kazi. Mimi ni Mjumbe wa Kamati ya Utekelezaji. Tulikuwa kule Pwani tukitegemea kuwa utafika kule ili utatue hiyo shida. Waziri, watu 4,000 walikuwa wanafanya kazi kwenye hivyo viwanda. Tuko na watu takriban 50,000 ambao wanategemea ukulima wa korosho. Licha ya usimamizi kupewa mtu binafsi, bado hatujaona manufaa yake katika Kaunti zote za Pwani. Nahisi uchungu nikiona Jumba hili likizungumzia jinsi kilimo cha kahawa na majani chai kinavyostawi. Pwani tumesahaulika sana. Na ndiyo maana tuliwahitaji sana wakati tulienda kutembelea ule mtambo ambao umechukuliwa na kampuni ya kibinafsi. Hatukuruhusiwa kuingia mle ndani. Mswada uliletwa hapa na Mheshimiwa Owen Baya na ukapitishwa kwamba kiwanda cha korosho kule Pwani kifufuliwe. Mpaka sasa, hatujaona matokeo. Ukulima wa nazi pia umedorora. Bandari ya Mombasa ni yetu lakini inaingiza nazi na korosho kutoka nchi za nje"
},
{
"id": 1498943,
"url": "http://info.mzalendo.com/api/v0.1/hansard/entries/1498943/?format=api",
"text_counter": 537,
"type": "speech",
"speaker_name": "Mombasa County, ODM",
"speaker_title": "Hon. Zamzam Mohammed",
"speaker": null,
"content": "The electronic version of the Official Hansard Report is for information purposesonly. A certified version of this Report can be obtained from the Hansard Editor."
},
{
"id": 1498944,
"url": "http://info.mzalendo.com/api/v0.1/hansard/entries/1498944/?format=api",
"text_counter": 538,
"type": "speech",
"speaker_name": "Mombasa County, ODM",
"speaker_title": "Hon. Zamzam Mohammed",
"speaker": null,
"content": "wakati wakulima wetu wanahangaika na kubobea kwenye umaskini ilhali miti ya korosho iko nchini. Ningependa Waziri anipe sikio. Najua hakuwa kwenye hiyo ofisi wakati huo, lakini ameweka mikakati gani kuhakikisha kuwa kiwanda cha korosho kinafufuliwa kama tulivyopitisha hapa Bungeni? Tunataka mmea wa maembe kuzinduliwa na kuinuka vizuri na nazi zetu kufufuliwa. Nahisi uchungu nikiwasikia wenzangu wakizungumzia bei ya macadamia kushuka wakati sisi wakulima wa korosho hatuonekani mahali. Nilitaka kumwuliza Waziri wa Elimu kabla hajaondoka kuhusu zile nafasi za kazi alizozitoa maana Kaunti ya Mombasa tulipewa nafasi tatu pekee kati ya 56,000 zilizokuwepo, ilhali tuko ndani ya broad-based Government . Tunataka tuone matunda ya Serikali hii pana ili tukisimama kwenye majukwaa yetu na kuwaeleza wananchi wetu yale mambo Rais amefanya, wataamini. Tunataka matendo. Rais amewawekea majukumu ya kumsaidia ili anapofika sehemu Fulani, atakuwa na mambo ambayo atasema amewafanyia wananchi. Lakini mkimwangusha kwa utendakazi wenu, atapata shida mashinani. Naomba mikorosho ifufuliwe katika Kaunti ya Pwani."
},
{
"id": 1498945,
"url": "http://info.mzalendo.com/api/v0.1/hansard/entries/1498945/?format=api",
"text_counter": 539,
"type": "other",
"speaker_name": "",
"speaker_title": "",
"speaker": null,
"content": "Hon. Deputy Speaker:"
},
{
"id": 1498946,
"url": "http://info.mzalendo.com/api/v0.1/hansard/entries/1498946/?format=api",
"text_counter": 540,
"type": "scene",
"speaker_name": "",
"speaker_title": "",
"speaker": null,
"content": "Waziri,"
},
{
"id": 1498947,
"url": "http://info.mzalendo.com/api/v0.1/hansard/entries/1498947/?format=api",
"text_counter": 541,
"type": "other",
"speaker_name": "",
"speaker_title": "",
"speaker": null,
"content": "kindly answer the questions first because they are quite few."
},
{
"id": 1498948,
"url": "http://info.mzalendo.com/api/v0.1/hansard/entries/1498948/?format=api",
"text_counter": 542,
"type": "speech",
"speaker_name": "Dr. Andrew Mwihia Karanja",
"speaker_title": "The Cabinet Secretary for Agriculture and Livestock Development",
"speaker": null,
"content": " Thank you, Hon. Deputy Speaker. The first issue is on the exported versus the local macadamia. When we export nuts, which we call nut and shell, we export the whole nut. One of the greatest Government’s policies is value-addition, and we must agree on that. When we export nut and shell, we lose in terms of the value addition. We have about 38 processing factories in Kenya which are operating at 20 to 30 per cent capacity. They cannot even find macadamia. We are, therefore, asking ourselves why we should give macadamia out when we can add value to it in the country. One of the major concerns which informs us when we are making that decision is value-addition."
},
{
"id": 1498949,
"url": "http://info.mzalendo.com/api/v0.1/hansard/entries/1498949/?format=api",
"text_counter": 543,
"type": "speech",
"speaker_name": "Hon. Deputy Speaker",
"speaker_title": "",
"speaker": null,
"content": "Thank you."
},
{
"id": 1498950,
"url": "http://info.mzalendo.com/api/v0.1/hansard/entries/1498950/?format=api",
"text_counter": 544,
"type": "speech",
"speaker_name": "Gichugu, UDA",
"speaker_title": "Hon. Gichimu Githinji",
"speaker": null,
"content": " On a point of information, Hon. Deputy Speaker."
},
{
"id": 1498951,
"url": "http://info.mzalendo.com/api/v0.1/hansard/entries/1498951/?format=api",
"text_counter": 545,
"type": "speech",
"speaker_name": "Hon. Deputy Speaker",
"speaker_title": "",
"speaker": null,
"content": "What is your point of information, Hon. Gichimu?"
}
]
}