HTTP 200 OK
Allow: GET, POST, HEAD, OPTIONS
Content-Type: application/json
Vary: Accept
{
"count": 1608389,
"next": "http://info.mzalendo.com/api/v0.1/hansard/entries/?format=api&page=148428",
"previous": "http://info.mzalendo.com/api/v0.1/hansard/entries/?format=api&page=148426",
"results": [
{
"id": 1502462,
"url": "http://info.mzalendo.com/api/v0.1/hansard/entries/1502462/?format=api",
"text_counter": 68,
"type": "speech",
"speaker_name": "Mombasa County, ODM",
"speaker_title": "Hon. Zamzam Mohammed",
"speaker": null,
"content": "(JSS) waweze kusoma vizuri. Nikiangalia katika sekta ya ukuzaji wa sukari, tulikuwa tunapata kama tani 40,000. Sasa zimeongezeka na kuwa tani 84,000 ambazo zimetufanya tusiagize sukari kutoka nje. Tunatumia sukari ya hapa nyumbani. Nampongeza Rais kwa juhudi zake. Wajua kila kitu kinachukua muda. Kitu nilichogundua ni kuwa Rais alikuwa pengine hana timu iliyokuwa inaweza kumzungumzia yale mambo mazuri ambayo amefanya. Lakini kwa yote ambayo alituelezea, nimezingatia moja baada ya nyingine na nikaona kuwa si yale wanayoyasema kwenye mitandao kuwa Rais ni mtu mrongo. Hapana. Nampongeza Rais. Hata watu wakikurushia mawe, yachukue uyajengee taifa maanake hata ukifanya kitu kizuri, mtu mbaya siku zote atakutoa aibu wakati umefanya kitu kizuri. Kwa hivyo, ninampongeza Rais kwa juhudi ambazo amefanya. Jambo lingine alilolizungumzia ni femicide ama mauaji ya kiholela ya wanawake. Hilo ni jambo ambalo limetugusa sana akina mama wengi. Hata juzi, niliona huko Nakuru mchungaji wa kanisani aliyemdhuru na kumkata mke wake vibaya sana. Nasi tunajua kuwa kanisa ndilo linafaa liwe mbele katika kuleta amani katika ndoa. Siyo mchungaji huyo tu. Kuna wengine ambao hawako kwenye makanisa lakini bado wanawaua wanawake. Rais alizungumzia jambo hilo na kutuhakikishia kuwa wanawake wa taifa letu watapewa ulinzi. Lakini kama alivyosema mwenzangu, ulinzi unaanza na wewe mwanamke. Usijitoe waziwazi kwenda kwenye mahoteli au Airbnb na humjui mtu unayekutana naye. Anakumalizia huko kisha tunaanza kumsumbua President na mambo yetu ama starehe zetu za kibinafsi. Wanawake tuwe macho na tujichunge sisi wenyewe. Najua kuwa Rais alisahau kuzungumzia mambo ya blue economy, lakini nataka nimpongeze. Waziri wetu ambaye ni mgeni amefanya kazi nyingi na tunaona matunda makubwa sana ya blue economy . Akina mama kule Mombasa wanafanya biashara na wamepata pesa za kufanya biashara. Kwa hivyo, nimpongeza sana Rais."
},
{
"id": 1502463,
"url": "http://info.mzalendo.com/api/v0.1/hansard/entries/1502463/?format=api",
"text_counter": 69,
"type": "scene",
"speaker_name": "",
"speaker_title": "",
"speaker": null,
"content": "(Hon. Zamzam Mohammed spoke off the record)"
},
{
"id": 1502464,
"url": "http://info.mzalendo.com/api/v0.1/hansard/entries/1502464/?format=api",
"text_counter": 70,
"type": "speech",
"speaker_name": "Hon. Farah Maalim",
"speaker_title": "The Temporary Speaker",
"speaker": {
"id": 16,
"legal_name": "Farah Maalim Mohamed",
"slug": "farah-maalim"
},
"content": " Ashaongezewa dakika hiyo."
},
{
"id": 1502465,
"url": "http://info.mzalendo.com/api/v0.1/hansard/entries/1502465/?format=api",
"text_counter": 71,
"type": "speech",
"speaker_name": "Hon. Farah Maalim",
"speaker_title": "The Temporary Speaker",
"speaker": {
"id": 16,
"legal_name": "Farah Maalim Mohamed",
"slug": "farah-maalim"
},
"content": "The electronic version of the Official Hansard Report is for information purposesonly. A certified version of this Report can be obtained from the Hansard Editor."
},
{
"id": 1502466,
"url": "http://info.mzalendo.com/api/v0.1/hansard/entries/1502466/?format=api",
"text_counter": 72,
"type": "speech",
"speaker_name": "Mombasa County, ODM",
"speaker_title": "Hon. Zamzam Mohammed",
"speaker": null,
"content": " Nataka kumpongeza Rais kwa juhudi ambazo amefanya kutupatia Waziri ambaye ni mchapa kazi, kama alivyosema mwenzangu. Wamekuja na kutupiga jeki na tunaona matunda kwa sababu ya uwiano. Nataka niwaambie Wakenya kuwa tumuombee Rais dua ili atupeleke katika njia sawa. Vitabu vimeandikwa kuwa tuwaheshimu viongozi. Tumuombe Mungu atuelekeze katika njia sawa. Nilikuwa mmoja wa wale waliokuwa wakimchapa fimbo Rais lakini, kwa hayo ambayo amefanya, nitakuwa mbele miongoni mwa wale wanaomuombea dua na watakaompa support ili aweze kuongoza taifa letu ili tuzidi kuona matunda. Ahsante sana, Mhe. Spika wa Muda."
},
{
"id": 1502467,
"url": "http://info.mzalendo.com/api/v0.1/hansard/entries/1502467/?format=api",
"text_counter": 73,
"type": "speech",
"speaker_name": "Hon. Farah Maalim",
"speaker_title": "The Temporary Speaker",
"speaker": {
"id": 16,
"legal_name": "Farah Maalim Mohamed",
"slug": "farah-maalim"
},
"content": " Mhe. Mwalyo, Member for Masinga."
},
{
"id": 1502468,
"url": "http://info.mzalendo.com/api/v0.1/hansard/entries/1502468/?format=api",
"text_counter": 74,
"type": "speech",
"speaker_name": "Masinga, Independent",
"speaker_title": "Hon. Joshua Mwalyo",
"speaker": null,
"content": " Thank you, Hon. Temporary Speaker, for giving me the opportunity to air my views about the President's Speech. This was one of the best speeches that the President has given since he was sworn into office. It is a plus for him to listen to the people. Even the Bible says that two people cannot walk together unless they agree. The President has started agreeing with the common mwananchi - the Kenyans. We have started a discussion. That is why he was even able to invite some young people, the church, and opinion leaders to speak to them, so that we can be on the same wavelength. In his conclusion, he said that he would continue to listen to them. That means that he wants to move with them as he governs this country. He wants to know what is ailing the people he is leading. That is a plus, as I have said before. I have seen the best model for funding universities and Technical and Vocational Education and Training (TVETs) institutions. This year alone, I have seen growth in the TVET in my constituency, which I started in 2018, after I came into office in 2017. I only had 500 students for five years. But this year alone, because of that funding model, the number of students who have enrolled in that TVET is now almost six times the usual number. There are 3,120 students. That means that there is something good that is happening in the education funding. Every child can go to school and the Government can pay for them and train teachers. We only had 10 teachers, but I currently have over 30 teachers who have been posted by the Teachers Service Commission (TSC). At the end of it all, we will train young people who will be skilled enough to even start their own companies because they are learning technical skills which they can use once they graduate from the college. Again, job opportunities are opening up overseas in countries like Canada, Qatar, United Kingdom and Germany, where the Government has even signed some agreements. For example, in September, we saw very long queues at the Kenyatta International Convention Centre (KICC), where young people were filling in forms to apply for those jobs. Some of them have been taken. One of them sent me a message two days ago stating that he flew to Qatar and had already got the job. This is someone who has been staying in this country and trained about four years ago, but had never got a job. But now he has one. What a joy for the parents who spent money to send their children to school and are now seeing them getting employed. So, on that, we say thank you very much to the President. In conclusion, I would like to say that Taifa Care and SHA are the game-changers. That is because everybody in this country will have a card to go and be treated in hospitals without paying any money. Even the poor in our constituencies will be treated. For example, I have been paying for 560 vulnerable and old peopleā¦"
},
{
"id": 1502469,
"url": "http://info.mzalendo.com/api/v0.1/hansard/entries/1502469/?format=api",
"text_counter": 75,
"type": "speech",
"speaker_name": "Hon. Farah Maalim",
"speaker_title": "The Temporary Speaker",
"speaker": {
"id": 16,
"legal_name": "Farah Maalim Mohamed",
"slug": "farah-maalim"
},
"content": " Give him half a minute to conclude."
},
{
"id": 1502470,
"url": "http://info.mzalendo.com/api/v0.1/hansard/entries/1502470/?format=api",
"text_counter": 76,
"type": "speech",
"speaker_name": "Masinga, Independent",
"speaker_title": "Hon. Joshua Mwalyo",
"speaker": null,
"content": " I was saying that, through the National Government Constituencies Development Fund (NG-CDF) Office in my constituency, we have been paying NHIF subscription for 560 households. Now we are transferring them to Taifa Care. If you multiply that figure and include the father and mother, that is 1,120 people, which is a plus. So, to me, this is a game-changer, and we should encourage it to come to full"
},
{
"id": 1502471,
"url": "http://info.mzalendo.com/api/v0.1/hansard/entries/1502471/?format=api",
"text_counter": 77,
"type": "speech",
"speaker_name": "Masinga, Independent",
"speaker_title": "Hon. Joshua Mwalyo",
"speaker": null,
"content": "The electronic version of the Official Hansard Report is for information purposesonly. A certified version of this Report can be obtained from the Hansard Editor."
}
]
}