HTTP 200 OK
Allow: GET, POST, HEAD, OPTIONS
Content-Type: application/json
Vary: Accept
{
"count": 1608389,
"next": "http://info.mzalendo.com/api/v0.1/hansard/entries/?format=api&page=150342",
"previous": "http://info.mzalendo.com/api/v0.1/hansard/entries/?format=api&page=150340",
"results": [
{
"id": 1521602,
"url": "http://info.mzalendo.com/api/v0.1/hansard/entries/1521602/?format=api",
"text_counter": 162,
"type": "speech",
"speaker_name": "Sen. Boy",
"speaker_title": "",
"speaker": {
"id": 13200,
"legal_name": "Issa Juma Boy",
"slug": "issa-juma-boy"
},
"content": "Asante sana, Bw. Spika, kwa kunipa fursa hii kuchangia Hoja hii kuhusu mzee wetu Leonard Mambo Mbotela ambaye alikuwa maarufu. Alijulika nchini na pia nchi za Afrika mashariki. Tulipokuwa wachanga, Kenya Broadcasting Coorporation (KBC) ilikuwa inafungulia saa kumi na moja na kufunga saa tatu usiku. Kabla habari za saa moja, kuna wakati Leonard Mambo Mbotela angesoma habari. Ni mzee mmoja aliyejulikana kwa sifa zake nzuri. Alizaliwa sehemu za Frere Town. Naomba Seneta wa Mombasa, Sen. Faki, Gavana wa Mombasa na Wabunge kutoka Kaunti ya Mombasa, haswa Kisauni, shule inayoitwa Frere Town wabadilishe jina iitwe Leonard Mambo Mbotela Primary School Free Town kwa sababu kwao ni Free Town. Bw. Spika, sio vibaya kubadilisha jina la shule. Jina hili litahusishwa na shule hii milele. Vitukuu watajua kulikuwa na shujaa aliyekuwa akitangaza katika redio. Leonard Mambo Mbotela alikuwa anajulikana sana. Wakati wake kulikuwa na watangazaji wengine kama Ali Salim Manga, yuko hai. Huyu alikuwa mtangazaji The electronic version of the Senate Hansard Report is for information purposesonly. A certified version of this Report can be obtained from the Director, Hansard and AudioServices, Senate."
},
{
"id": 1521603,
"url": "http://info.mzalendo.com/api/v0.1/hansard/entries/1521603/?format=api",
"text_counter": 163,
"type": "speech",
"speaker_name": "Sen. Boy",
"speaker_title": "",
"speaker": {
"id": 13200,
"legal_name": "Issa Juma Boy",
"slug": "issa-juma-boy"
},
"content": "maarufu sana. Sammy Lui aliyekuwa amebobea na yuko hai. Amestaafu tu lakini bado anajulikana. Sitasema mengi, ila naomba Seneta wa Mombasa Sen. Faki, akazane na Gavana wa Mombasa Abdullswamad Sherrif Nassir wabadilishe jina la shule ile. Bunge la Kaunti ya Mombasa ipitishe Hoja kuwa shule iliyoko Free Town ibadilishwe jina na kuitwa Leonard Mambo Mbotela Primary School. Bw. Spika, kwa hayo machache, asante sana."
},
{
"id": 1521604,
"url": "http://info.mzalendo.com/api/v0.1/hansard/entries/1521604/?format=api",
"text_counter": 164,
"type": "speech",
"speaker_name": "Hon. Kingi",
"speaker_title": "The Speaker",
"speaker": null,
"content": " Sen. Oketch Gicheru, proceed."
},
{
"id": 1521605,
"url": "http://info.mzalendo.com/api/v0.1/hansard/entries/1521605/?format=api",
"text_counter": 165,
"type": "speech",
"speaker_name": "Sen. Oketch Gicheru",
"speaker_title": "",
"speaker": null,
"content": "Bw. Spika, nachukua fursa hii kukupa pole, kwa kumpoteza babako. Naomba Mungu aipoze roho yako. Pili, kama kijana nchini, mimi hutazama mbele wakati ambapo sisi kama Wakenya tutakuwa na maadili mema. Katika Katiba yetu, Sura ya Sita, kuna maadili ambayo imeashiriwa. Natazamia siku moja ambayo Wakenya watakuwa na maadili mema. Namkumbuka marehemu Leonard Mambo Mbotela kwa kipindi ambacho alikuwa anatangaza. Kipindi hiki kiliangazia maadili ya jamii. Licha ya kuwa na Serikali na polisi, inawezekana jamii iwe na maadili mema. Kipindi cha “Je, huu ni ungana.” hakikuwa kipindi tu kwangu. Nimekitazama kwenye Youtube . Kipindi hiki kiliangazia maadili mema katika jamii. Hapa nchini watu hawana maadili. Wanasiasa wako na changamoto ya tamaa. Inafaa wanasiasa wasome kutokana na mafunzo ya Leonard Mambo Mbotela. Wanafanyi biashara pia hawama maadili. Waendeshaji pikipiki na matatu hawana taadhima wala utu barabarani. Masuala haya ndio Leonard Mambo Mbotela alikuwa anayezungumzia. Tunapoomboleza ndugu yetu, naiombea familia yake mema. Naomba Mungu awafariji. Kama taifa, tuzingatie yale aliyokuwa akiyasema kwenye kipindi chake. Na tusikuwe na tamaa---"
},
{
"id": 1521606,
"url": "http://info.mzalendo.com/api/v0.1/hansard/entries/1521606/?format=api",
"text_counter": 166,
"type": "speech",
"speaker_name": "Hon. Kingi",
"speaker_title": "The Speaker",
"speaker": null,
"content": " Sen. Oketch Gicheru, you have 30 seconds to conclude your thoughts."
},
{
"id": 1521607,
"url": "http://info.mzalendo.com/api/v0.1/hansard/entries/1521607/?format=api",
"text_counter": 167,
"type": "speech",
"speaker_name": "Sen. Oketch Gicheru",
"speaker_title": "",
"speaker": null,
"content": "Asante, Bw. Spika, kwa kuniongeza muda. Tusiwe na tamaa ya mali kama jamii, bali tuwe na maadili mema ya kujenga jamii ya usawa."
},
{
"id": 1521608,
"url": "http://info.mzalendo.com/api/v0.1/hansard/entries/1521608/?format=api",
"text_counter": 168,
"type": "speech",
"speaker_name": "Hon. Kingi",
"speaker_title": "The Speaker",
"speaker": null,
"content": " Sen. Korir, proceed."
},
{
"id": 1521609,
"url": "http://info.mzalendo.com/api/v0.1/hansard/entries/1521609/?format=api",
"text_counter": 169,
"type": "speech",
"speaker_name": "Sen. Korir",
"speaker_title": "",
"speaker": null,
"content": "Asante sana, Bw. Spika. Nachukua nafasi hii kutoa risala za rambirambi kwa Spika kwa kupoteza baba mzazi. Poleni sana. Tumepoteza viongozi ambao wamefanya kazi ya kuifunza jamii na kuitunza familia. Siku ya leo tunashuhudia matunda ya kazi yao. Leonard Mambo Mbotela alikuwa na kipindi ambacho alitumia kufunza Wakenya mambo mengi. Kuna mambo mengi ambayo yanaendelea hivi sasa yanayoshtua jamii. Tabia ambazo ziko kwenye mitandao haziandamani na maadili ya kijamii. Leonard Mambo Mbotela alifanya kazi nzuri. Alichangia kwenye michezo. Tumempoteza mtu mashuhuri. Pole kwa familia na nchi nzima. Asante, Bw. Spika."
},
{
"id": 1521610,
"url": "http://info.mzalendo.com/api/v0.1/hansard/entries/1521610/?format=api",
"text_counter": 170,
"type": "speech",
"speaker_name": "Hon. Kingi",
"speaker_title": "The Speaker",
"speaker": null,
"content": " Hon. Senators, I will proceed to put the question. Clerk, before I put the question, please, confirm if we have the requisite quorum."
},
{
"id": 1521611,
"url": "http://info.mzalendo.com/api/v0.1/hansard/entries/1521611/?format=api",
"text_counter": 171,
"type": "speech",
"speaker_name": "Hon. Kingi",
"speaker_title": "The Speaker",
"speaker": null,
"content": "The electronic version of the Senate Hansard Report is for information purposesonly. A certified version of this Report can be obtained from the Director, Hansard and AudioServices, Senate."
}
]
}