GET /api/v0.1/hansard/entries/?format=api&page=152684
HTTP 200 OK
Allow: GET, POST, HEAD, OPTIONS
Content-Type: application/json
Vary: Accept

{
    "count": 1608389,
    "next": "http://info.mzalendo.com/api/v0.1/hansard/entries/?format=api&page=152685",
    "previous": "http://info.mzalendo.com/api/v0.1/hansard/entries/?format=api&page=152683",
    "results": [
        {
            "id": 1545032,
            "url": "http://info.mzalendo.com/api/v0.1/hansard/entries/1545032/?format=api",
            "text_counter": 82,
            "type": "speech",
            "speaker_name": "Sen. Chimera",
            "speaker_title": "",
            "speaker": null,
            "content": "Asante, Bw. Spika kwa fursa hii. Ningependa kuchangia kwa ile Taarifa ya Seneta Joe Nyutu kutoka Murangá, kuhusu kifo cha yule Bi. Joyster Muchina. Kwanza, ninapeana rambirambi zangu kwa familia ya mwenda zake kwa kupoteza maisha yake kupitia mikono ya watenda kazi wetu wa usalama. Ni kinaya kuona wale maafisa wa polisi ambao wanafaa kutupea usalama kama wananchi ndio wako mstari wa mbele kutoa maisha ya binadamu wetu. Hatua ile ya maafisa wa polisi kujihusisha na maswala ambayo ni ya kigaidi inafanya wananchi wetu wanapoteza uhai na hio si sawa. Kwa hivyo, ninapeana ilani kali sana kwa maafisa watakaopatikana kwa swala hili. Bw. Spika, ninachukua fursa hii kuzungumzia kudorora kwa usalama pale Kaza Moyo eneo bunge la Kinango. Utapata maafisa wa usalama, hususan maafisa wa GSU, wanahangaisha wananchi wetu pale Kaza Moya kiholela. Wananchi wamepigwa vita na maafisa wetu wa usalama. Vile vile, wengine wamejeruhiwa na wengine kupoteza uhai wao kwa sababu ya swala la maafisa wa usalama kudhibiti usalama. Naomba Kamati ya Usalama ifanye kazi yake kwa undani sana. Afisa atakayepatikana na hatua yeyote, Kamati hii ichukue hatua kali na ishikane na lile shirika la Independent Policing Oversight Authority (IPOA) ili maafisa hao wa usalama wapelekwe kortini na waachishwe kazi. Hii itakua funzo kwa maafisa wa usalama wengine kuwa sio vyema mwananchi wa Kenya leo hii apoteze uhai wake kupitia kwa mikono ya maafisa hawa. Ninampongeza Seneta Joe Nyutu kwa kuleta taarifa hii hapa Bungeni na nina imani kwamba Kamati hii itafanya kazi ambayo itasaidia Wakenya wote na kuhakikisha kwamba hatua kali zimechukuliwa dhidi ya maafisa hawa wanaokosa nidhamu na kupoteza maisha ya wananchi wetu mikononi mwao."
        },
        {
            "id": 1545033,
            "url": "http://info.mzalendo.com/api/v0.1/hansard/entries/1545033/?format=api",
            "text_counter": 83,
            "type": "speech",
            "speaker_name": "Hon. Kingi",
            "speaker_title": "The Speaker",
            "speaker": null,
            "content": " Sen. Faki, proceed."
        },
        {
            "id": 1545034,
            "url": "http://info.mzalendo.com/api/v0.1/hansard/entries/1545034/?format=api",
            "text_counter": 84,
            "type": "speech",
            "speaker_name": "Sen. Faki",
            "speaker_title": "",
            "speaker": {
                "id": 13211,
                "legal_name": "Mohamed Faki Mwinyihaji",
                "slug": "mohamed-faki-mwinyihaji-2"
            },
            "content": "Asante, Bw. Spika kwa kunipa fursa hii kuchangia kwenye Kauli iliyoletwa Bungeni na Sen. Abass, Seneta wa Wajir. Amezungumzia masuala ya ugonjwa wa Kala-azar . Ugonjwa huu umeingia katika Kaunti za kaskazini. Wiki iliyopita tulizungumzia Kaunti ya Marsabit, hivi sasa tunazungumzia Kaunti ya Wajir. Zamani, afya haikuwa imegatuliwa. Ilikuwa ni shida kupata wataalamu wa kupambana na majanga kama haya kwa muda mfupi. Kaunti zetu hazijafanya mipango yoyote kuhusiana na magonjwa kama haya. Inakuaje ugonjwa unaingia, wananchi wanafariki, sio mmoja bali wawili watatu. Ripoti ya magazeti ilisema kuwa watu kadhaa wamepoteza maisha yao kwa sababu ya ugonjwa huu. Ni ugonjwa ambao unaweza kutibiwa na kuepukwa wakati wananchi watazingatia usafi ili kupambana na masuala kama haya. Ni muhimu Bunge hii iangalie ni vipi kaunti zinapambana na majanga. The electronic version of the Senate Hansard Report is for information purposesonly. A certified version of this Report can be obtained from the Director, Hansard and AudioServices, Senate."
        },
        {
            "id": 1545035,
            "url": "http://info.mzalendo.com/api/v0.1/hansard/entries/1545035/?format=api",
            "text_counter": 85,
            "type": "speech",
            "speaker_name": "Sen. Faki",
            "speaker_title": "",
            "speaker": {
                "id": 13211,
                "legal_name": "Mohamed Faki Mwinyihaji",
                "slug": "mohamed-faki-mwinyihaji-2"
            },
            "content": "Hakuna mandalizi kwenye kaunti ya kupambana na majanga kama haya ambayo yanatokea mara kwa mara na kupoteza Maisha ambayo tungeokoa. Tulipopambana na janga la COVID-19, kaunti nyingi zilijitayarisha na kujenga vyumba vya wagonjwa mahututi. Hivi sasa tunashikwa na magonjwa madogo madogo kama haya ambayo yanaweza kutibiwa na kuepukwa iwapo kaunti zetu zitakuwa imara katika kuangalia afya ya umma katika maeneo yao. Pia ningependa kutoa maoni yangu kuhusiana na Kauli ya Sen. Githuku, Seneta wa Lamu. Kauli ni kuhusiana na ulipaji wa ridhaa kwa watu wanaoadhiriwa na masuala ya kushambuliwa na wanyama pori katika maeneo yetu. Hili limekuwa ni donda sugu. Juzi tulipata fursa ya kukutana na waziri. Tumemwambia kuwa tungependa kupewa orodha ya wale ambao wamelipwa kuanzia mwaka wa 2020 mpaka leo ili tujue kama malipo yanatolewa kulingana na wale ambao waliumia zamani ama malipo yanalipwa kulingana na wale wanajua maofisa wanaolipa. Kuna watu wengi walioshambuliwa na wanyama na wengine wamefariki na familia zao hazijapata ridhaa. Wengine ni vilema na familia zao hazijapata ridhaa. Ni muhimu Waziri aweze kueleza na atoe ---"
        },
        {
            "id": 1545036,
            "url": "http://info.mzalendo.com/api/v0.1/hansard/entries/1545036/?format=api",
            "text_counter": 86,
            "type": "speech",
            "speaker_name": "Hon. Kingi",
            "speaker_title": "The Speaker",
            "speaker": null,
            "content": " Sen. Faki, I will allow you one minute."
        },
        {
            "id": 1545037,
            "url": "http://info.mzalendo.com/api/v0.1/hansard/entries/1545037/?format=api",
            "text_counter": 87,
            "type": "speech",
            "speaker_name": "Sen. Faki",
            "speaker_title": "",
            "speaker": {
                "id": 13211,
                "legal_name": "Mohamed Faki Mwinyihaji",
                "slug": "mohamed-faki-mwinyihaji-2"
            },
            "content": "Asante Bw. Spika. Kisha tujue ni vipi wanafanya malipo haya. Kuna wengine ambao wamepeleka madai gushi, wamelipwa wakati wale ambao wanastahili kulipwa bado wanangojea na hawajulikani watalipwa lini."
        },
        {
            "id": 1545038,
            "url": "http://info.mzalendo.com/api/v0.1/hansard/entries/1545038/?format=api",
            "text_counter": 88,
            "type": "speech",
            "speaker_name": "Hon. Kingi",
            "speaker_title": "The Speaker",
            "speaker": null,
            "content": " Sen. Okenyuri, proceed."
        },
        {
            "id": 1545039,
            "url": "http://info.mzalendo.com/api/v0.1/hansard/entries/1545039/?format=api",
            "text_counter": 89,
            "type": "speech",
            "speaker_name": "Sen. Okenyuri",
            "speaker_title": "",
            "speaker": null,
            "content": "Thank you, Mr. Speaker, Sir. I wish to support the Statement by Sen. (Prof.) Tom Ojienda on the general welfare of national Government administrative officers. These are the eyes of the Government at the grass-roots. They encounter challenges day in and day out. Take, for instance, the case of local assistant chiefs and chiefs. Initially, there would be security in their areas of operation. Right now, the chiefs and assistant chiefs are left with the swag cane, which they carry around in all the meetings they engage in. As a country, we need to prioritise their welfare. They need regular training, so that they are conversant with recent happenings in terms of conflict resolution. We also need more security, especially in the border areas. Sometimes these officers are attacked by criminals who are hostile towards whatever they are doing, which is largely affecting their work, especially in the fight against illicit brew. Also, I would like to comment on the Statement by Sen. Joe Nyutu on the Grade Eight young child who was killed. We are losing the future of this country. Every day, you read the statistics in the national newspaper of children who are either being molested or trafficked or children who are being sold, even before they get to know what is in for them in this country. I also wish to comment on the Statement on dumping. The issue of dumping is largely affecting county governments across this country. Low sanitation causes disease outbreaks, which would otherwise have been prevented if we had avoided disposing of waste products. So that we have a population that is responsible enough to avoid dumping, the Government should ensure that we are providing it in marketplaces or places where we are likely to encounter dumping places for disposing of waste products. The electronic version of the Senate Hansard Report is for information purposesonly. A certified version of this Report can be obtained from the Director, Hansard and AudioServices, Senate."
        },
        {
            "id": 1545040,
            "url": "http://info.mzalendo.com/api/v0.1/hansard/entries/1545040/?format=api",
            "text_counter": 90,
            "type": "speech",
            "speaker_name": "Sen. Okenyuri",
            "speaker_title": "",
            "speaker": null,
            "content": "Finally, there is the issue of the welfare of police in this country. We cannot expect police officers to provide security, as they live in a sorry state. We need to also treat them as other officers serving in public service in this country."
        },
        {
            "id": 1545041,
            "url": "http://info.mzalendo.com/api/v0.1/hansard/entries/1545041/?format=api",
            "text_counter": 91,
            "type": "speech",
            "speaker_name": "Hon. Kingi",
            "speaker_title": "The Speaker",
            "speaker": null,
            "content": " Sen. Githuku, proceed."
        }
    ]
}