HTTP 200 OK
Allow: GET, POST, HEAD, OPTIONS
Content-Type: application/json
Vary: Accept
{
"count": 1608389,
"next": "http://info.mzalendo.com/api/v0.1/hansard/entries/?format=api&page=154760",
"previous": "http://info.mzalendo.com/api/v0.1/hansard/entries/?format=api&page=154758",
"results": [
{
"id": 1565782,
"url": "http://info.mzalendo.com/api/v0.1/hansard/entries/1565782/?format=api",
"text_counter": 197,
"type": "other",
"speaker_name": "",
"speaker_title": "",
"speaker": null,
"content": "Tumegundua pia kwamba changamoto moja inayokuba kaunti zetu ni ucheleweshaji wa mgao unaotolewa kwa kaunti zetu. Kwa mfano, malipo ya mwisho kufanywa ni ya Mwezi wa Tatu. Yaani wako nyuma na karibu miezi miwili. Changamoto nyingine inayokumba serikali za kaunti ni kwamba haziwezi kulipa kodi ya mapato yaani, “pay as you earn”, na kodi zingine zinazokusanywa na serikali za kaunti ili kupeleka katika hazina kuu. Kwa hiyo, iwapo hizi pesa zitaendelea kuchelewa, utenda kazi kwa kaunti zetu utazorota na ukusanyaji wa fedha kwa Serikali kuu utadorora. Hii ni kwa sababu zile pesa zinazoenda katika kaunti ndizo zinazolipa kodi kwa wale wafanyakazi wa kaunti na kuwapa fursa ya kulipa kodi hii. Katika Mswada huu, tumeona kwamba Serikali kuu imetoa Hazina ya Usawa. Ijapokuwa hazina hii ilianzishwa mwaka wa 2012 baada ya kupitisha Katiba yetu, pesa hizi zimeendelea kukaa katika Serikali kuu. Hii ni kwa sababu kulikuwa hakuna sheria endelezi ya kutoa pesa hizi kutoka Serikali kuu hadi kaunti. Ilibidi Bunge la awamu ya 12 ipitishe sheria ili pesa zile zirudi kwa kaunti. Kwa hiyo, kuna malimbikizo ya madeni ya miaka mingi ambayo hayakuenda katika kaunti zile. Kuna pesa takribani Shilingi 2,736,739,351 ambazo Hazina ya Usawa inadai Serikali kuu. Pesa hii inasaidia kupunguza zile tofauti zilizopo kimaendeleo katika kaunti. Kwa mfano, kuna sehemu hazina maji safi au zahanati. Pesa hii ilinuiwa kufanya kazi hiyo. Iwapo pesa hizi zitaendelea kucheleweshwa ama kutopelekwa katika kaunti au Hazina ya Usawa, kazi zinazotarajiwa kufanywa katika maeneo yale ili yawe sawa na kaunti zingine zinaendelea kuchelewa. Hivyo basi, hakutakuwa na usawa ijapokuwa hazina hii ilibashiriwa kutumika kwa muda wa miaka 20. Kuna umuhimu wa Serikali kulipa yale malimbikizo ya madeni yaliopo ili hazina iweze kufanya kazi na watu waweze kupata maendeleo yaliyokusudiwa kutatuliwa na hazina hii. Jambo la mwisho, naunga mkono mapendekezo ya Kamati ya Fedha na Bajeti ya Bunge hili kwamba pesa zitakazogawiwa kaunti zetu ni Shilingi 465,001,459,673. Hii haimaanishi kwamba kaunti zetu zinapewa fedha kufanya ubadilifu. La hasha, hizi ni fedha zitakazowawezesha kusimamia bajeti zao kisasawa. Kwa mfano, kuna wahudumu wa afya ambao lazima watusalimie hapa Bunge kila wiki. Juzi kumetolewa agizo kwamba wengine wao wahamishwe kwa kaunti. Je, iwapo watahamishwa kuenda kwa kaunti na kaunti hazijapelekewa pesa, watalipwa na nini? Kuna huduma muhimu za afya ambazo wanapeana. Iwapo watakosa kulipwa mishahara, hali ya afya itadorora katika kaunti zetu. Wafanya kazi hawa wanafanya kazi muhimu sana ambayo haiwezi kudharauliwa. Bw. Naibu Spika, masuala ya SHA na kodi ya nyumba yameongeza mzigo katika kaunti zetu. Kwa hivyo, inapaswa mgao huu uongezeke ili kufidia yale mapengo ambayo yaliyosababishwa na pesa zinazokusudiwa kuenda kwa kaunti zetu. Hii haimaanishi kwamba hakuna ubatilifu katika kaunti zetu. Ukichunguza, utapata kuwa kila kaunti ina madhambi yake. Kwa mfano, Kaunti ya Mombasa ilipewa pesa takribani Shilingi milioni 100 za kujenga County Aggregated Industrial Park (CAIPs). Lakini ukienda katika viwanja vile utapata jiwe la msingi lililowekwa na Waziri"
},
{
"id": 1565783,
"url": "http://info.mzalendo.com/api/v0.1/hansard/entries/1565783/?format=api",
"text_counter": 198,
"type": "other",
"speaker_name": "",
"speaker_title": "",
"speaker": null,
"content": "The electronic version of the Senate Hansard Report is for information purposesonly. A certified version of this Report can be obtained from the Director, Hansard and AudioServices, Senate."
},
{
"id": 1565784,
"url": "http://info.mzalendo.com/api/v0.1/hansard/entries/1565784/?format=api",
"text_counter": 199,
"type": "other",
"speaker_name": "",
"speaker_title": "",
"speaker": null,
"content": "May 21, 2025 SENATE DEBATES 26"
},
{
"id": 1565785,
"url": "http://info.mzalendo.com/api/v0.1/hansard/entries/1565785/?format=api",
"text_counter": 200,
"type": "other",
"speaker_name": "",
"speaker_title": "",
"speaker": null,
"content": "wa zamani wa biashara, Mhe. Moses Kuria, mwaka jana mwanzoni. Hadi leo, hakuna jambo lolote linaloendelea katika maeneo yale. Tukiangalia masuala ya barabara, barabara nyingi katika Kaunti ya Mombasa hazipitiki kwa sababu ya mvua iliyonyesha. Barabara zote ikiwemo za kaunti pamoja na Serikali kuu ziko katika hali mbovu. Mji wa kitalii kama wa Mombasa haupaswi kuwa na barabara kama zile. Kaunti zetu zinapeana kipao mbele kwa mambo ambayo hayaendelezi kaunti zetu. Tukikirudi kwa masuala ya elimu, ijapokuwa kaunti zinafaa kushughulikia elimu ya chekechea na elimu ya kiufundi, Kaunti ya Mombasa ina taasisi mbili pekee za elimu ya kiufundi. Tulipozuru Kaunti ya Mombasa na Kamati ya Elimu ya Bunge hili, ilikuwa aibu kwetu. Kama watu wa Mombasa, tulishindwa kujieleza ni miradi gani tuliyoifanya kwa elimu ya kiufundi. Vituo vinavyotoa elimu ya kiufundi ni viwili pekee. Kimoja kipo maemeo ya Mtongwe, eneo Bunge la Likoni na kingine kipo maeneo ya Mwakirunge, eneo Bunge la Kisauni. Bw. Naibu Spika, kuna umuhimu wa Seneti kuchunguza kwa makini utendakazi wa kaunti zetu. Bila kufanya hivyo, tutakuwa tunapiga kelele na kukauka koo tukipendekeza pesa ziende katika kaunti, lakini hakuna maendeleo yoyote wananchi wetu wanapata. Mwisho, naunga mkono hukumu ya juzi iliyosema Bunge ipitie na kuidhinisha ripoti ya Mkaguzi Mkuu wa Hesabu za Serikali kufikia tarehe 31 mwezi wa tatu. Hii ni kwa sababu itawezesha fedha ziweze kugawanywa kwa tarakimu sahihi. Katika Mswada huu, hesabu zilizotumika ni za mwaka 2020/2021 ambayo ni miaka mitano iliyopita. Kwa hivyo, Bunge likiweza kupitisha hesabu hizi kwa mapema zaidi, itakuwa ni vizuri zaidi kwa sababu pesa zitagawanywa kulingana na hesabu za sasa ambazo zinatumika katika Serikali kuu. Kwa hayo mengi, naunga mkono Mswada huu na vile vile naomba kwamba tuweze kupitisha hiyo Shilingi 465 bilioni. Asante, Naibu Spika."
},
{
"id": 1565786,
"url": "http://info.mzalendo.com/api/v0.1/hansard/entries/1565786/?format=api",
"text_counter": 201,
"type": "speech",
"speaker_name": "Sen. Kathuri",
"speaker_title": "The Deputy Speaker",
"speaker": null,
"content": " Asante. Next is Sen. Sifuna Edwin."
},
{
"id": 1565787,
"url": "http://info.mzalendo.com/api/v0.1/hansard/entries/1565787/?format=api",
"text_counter": 202,
"type": "speech",
"speaker_name": "Sen. Sifuna",
"speaker_title": "",
"speaker": null,
"content": "Thank you, Mr. Deputy Speaker, Sir. Over the weekend, we had an occasion with some of our colleagues from the National Assembly to attend a function in Migori. The Senate Majority Leader was there. Part of the conversation we had when we were having lunch with our colleagues from the National Assembly is that they thought that not everything between our two Houses has to come to a stalemate before it is addressed. It saddens me that for the third year straight that I have been a Senator of Nairobi City County, the National Assembly is again inviting us to a stalemate on this question of the division of revenue. I ask myself the question, why do we have to have a mediation every single year? I have never understood why our brothers in the National Assembly cannot just do what is right by devolution and what is right by the people. If indeed they know the recommendation that has been made by the Commission on Revenue Allocation (CRA), why can they not just give counties the Kshs450 billion that we have been asking for? We will do what we have to do and fight for the rights of"
},
{
"id": 1565788,
"url": "http://info.mzalendo.com/api/v0.1/hansard/entries/1565788/?format=api",
"text_counter": 203,
"type": "speech",
"speaker_name": "Sen. Sifuna",
"speaker_title": "",
"speaker": null,
"content": "The electronic version of the Senate Hansard Report is for information purposesonly. A certified version of this Report can be obtained from the Director, Hansard and AudioServices, Senate."
},
{
"id": 1565789,
"url": "http://info.mzalendo.com/api/v0.1/hansard/entries/1565789/?format=api",
"text_counter": 204,
"type": "other",
"speaker_name": "",
"speaker_title": "",
"speaker": null,
"content": "May 21, 2025 SENATE DEBATES 27"
},
{
"id": 1565790,
"url": "http://info.mzalendo.com/api/v0.1/hansard/entries/1565790/?format=api",
"text_counter": 205,
"type": "other",
"speaker_name": "",
"speaker_title": "",
"speaker": null,
"content": "the devolution family in the best way that we can because that is the duty that we swore to undertake. I want to make it clear from the onset that I agree fully with the recommendations that have been made by our own Committee on Finance and Budget. I want to refer you very quickly to Page 6 of that Report. On Page 6 of that Report, you will see that the Committee has noted that the projected revenue for the Financial Year 2025/2026 is estimated to be Kshs2.8 trillion. Out of this, the national Government's share is Kshs2.4 trillion, representing 85.3 per cent of our entire revenue and that the Kshs405 billion that has been proposed for the devolution family represents a paltry 14.28 per cent of the total revenue. The 14.28 per cent falls short of the threshold that has been set by the Constitution of a minimum of 15 per cent. They will argue that they are basing their math on the last audited accounts that have been approved by Parliament. Nonetheless, we know that this continues to be an injustice to the devolution family. Somebody here made a remark in the morning that, in fact, the current National Treasury Cabinet Secretary, Hon. John Mbadi, was the Chair of the Public Accounts Committee (PAC) in the National Assembly, whose responsibility was to ensure that the National Assembly is up to date, so that the devolution family does not continue to lose money. I will come back to Hon. John Mbadi in a short while. Mr. Deputy Speaker, Sir, allow me to say that this House has recommended Kshs465 billion. I do not know why the Deputy Speaker is shaking his head. Hon. Deputy Speaker, is there a problem?"
},
{
"id": 1565791,
"url": "http://info.mzalendo.com/api/v0.1/hansard/entries/1565791/?format=api",
"text_counter": 206,
"type": "scene",
"speaker_name": "",
"speaker_title": "",
"speaker": null,
"content": "(Laughter)"
}
]
}