HTTP 200 OK
Allow: GET, POST, HEAD, OPTIONS
Content-Type: application/json
Vary: Accept
{
"count": 1608389,
"next": "http://info.mzalendo.com/api/v0.1/hansard/entries/?format=api&page=154767",
"previous": "http://info.mzalendo.com/api/v0.1/hansard/entries/?format=api&page=154765",
"results": [
{
"id": 1565852,
"url": "http://info.mzalendo.com/api/v0.1/hansard/entries/1565852/?format=api",
"text_counter": 267,
"type": "other",
"speaker_name": "",
"speaker_title": "",
"speaker": null,
"content": "May 21, 2025 SENATE DEBATES 39"
},
{
"id": 1565853,
"url": "http://info.mzalendo.com/api/v0.1/hansard/entries/1565853/?format=api",
"text_counter": 268,
"type": "other",
"speaker_name": "",
"speaker_title": "",
"speaker": null,
"content": "watoto wa mabwenyenye na matajiri ambao kwa shule zao za chekechea, wanaenda kwa magari na wanakunywa maziwa kwa chupa zilizoundwa sawasawa? Wanabembelezwa na kuimbiwa nyimbo za kulala, ilhali watoto wa mashinani wanakung’utwa na mbu pasipo wao kuwa na chochote ndani ya tumbo zao. Ninaomba tunapokata kauli---"
},
{
"id": 1565854,
"url": "http://info.mzalendo.com/api/v0.1/hansard/entries/1565854/?format=api",
"text_counter": 269,
"type": "speech",
"speaker_name": "Sen. Kathuri",
"speaker_title": "Naibu wa Spika",
"speaker": null,
"content": " Ngojea, Seneta Wakoli. Kiongozi wa Wachache?"
},
{
"id": 1565855,
"url": "http://info.mzalendo.com/api/v0.1/hansard/entries/1565855/?format=api",
"text_counter": 270,
"type": "speech",
"speaker_name": "Sen. Madzayo",
"speaker_title": "Kiongozi wa Wachache",
"speaker": null,
"content": " Asante, Bw. Naibu wa Spika. Sijui kama umesikia ndugu yetu Wakoli akisema ya kwamba, kuna wale ambao watoto wao wanakunywa maziwa na zile chupa za kawaida na kuna wale watoto wa mabwenyenye wanaokunywa na zile chupa zilizotengenezwa kisawasawa. Sijui kama kuna chupa aina hiyo za watoto wadogo za kunyonya. Labda atueleze zaidi."
},
{
"id": 1565856,
"url": "http://info.mzalendo.com/api/v0.1/hansard/entries/1565856/?format=api",
"text_counter": 271,
"type": "speech",
"speaker_name": "Sen. Wafula",
"speaker_title": "",
"speaker": null,
"content": "Asante, Bw. Naibu wa Spika. Ninaheshimu uwezo na tajriba ya Seneta aliyeniuliza swali. Lakini, Wakenya wanaonitazama wanaelewa kwamba, kwa baadhi ya kaunti, watoto huona maziwa kwa vyombo vya habari. Watoto huona maziwa iwapo mwana wa mbuzi anapomnyonya mamake. Mambo ya chupa yasiwe ya muhimu sana. Cha muhimu ni mmoja anakunywa maziwa kwa chupa ya kawaida na mwingine anakunywa maziwa katika vijikombe vya mabati. Ninaomba nirejelee kwa Hoja. Ugatuzi uliletwa katika nchi ya Kenya kusawazisha maisha ya Wakenya na kuwaweka katika barasta iliyo sawa. Vyuo anwai na vyuo vya chekechea, ni lazima viwe na maabara, walimu wa kutosha na mashine na mitambo ya utafiti ya kutosha ili watoto wanapotoka Bungoma, Marsabit na Kisumu, wakikutana uwanja wa kutafuta kazi, wote wako sawa sababu ugatuzi uliwatendea wema wote, pasipo kunyimwa haki kikatiba. Ndio sababu ninaungana na Maseneta wengine na kusema kwamba, wakati umefika, magatuzi yapewe pesa za kutosha na tunapowapa pesa, tutawaandama kwa miradi ya maendeleo ili tuhakikishe fedha zinazoenda kwa miradi hii zinaenda sambamba na yale tunaona yakihadithiwa na macho mashinani. Nimegundua kwamba, ng’ombe wa kiuchumi ni miradi ghushi au miradi hewa. Yaani wanaweka mamilioni, lakini chini ya mamilioni haya, kuna wale wanakamulia chini kama wanakandarasi. Ni lazima Wakenya wawe macho kuhakikisha kwamba miradi inayotekelezwa, inaafiki matarajio yao na wanahusisha umma, kwa kimombo, public participation ili miradi iafiki matarajio ya wale wahusika ambao watanufaika na miradi hii. Bw. Naibu wa Spika, katika mapana na marefu, falsafa ya Serikali, ninaomba Jumba la Seneti lisimame wima, lisimame tisti, lisiumbishwe, lisipigiwe simu kutoka kwingine, tuamue jinsi tulivyoamua sasa na tutetee magatuzi yetu. Hizi pesa zinapoenda kule mashinani, vijana wengi mitandaoni hawana kazi. Ninaomba Seneti tuwachangamkie hao magavana. Kandarasi na pesa zinazopeanwa kule mashinani ni kwa baadhi ya makampuni zinazopewa ni makampuni yaliyoandaliwa kitaaluma ya watu fulani Nairobi, kunyima vijana wa mashinani kazi. Ni lazima tumulike hapo tujue. Asilimia 30 wanasema iwe ya watu wenyeji au 70 ya wenyeji. Lakini, ukimulika sana, baadhi ya wanakandarasi hawa si wenyeji na ni wale"
},
{
"id": 1565857,
"url": "http://info.mzalendo.com/api/v0.1/hansard/entries/1565857/?format=api",
"text_counter": 272,
"type": "speech",
"speaker_name": "Sen. Wafula",
"speaker_title": "",
"speaker": null,
"content": "The electronic version of the Senate Hansard Report is for information purposesonly. A certified version of this Report can be obtained from the Director, Hansard and AudioServices, Senate."
},
{
"id": 1565858,
"url": "http://info.mzalendo.com/api/v0.1/hansard/entries/1565858/?format=api",
"text_counter": 273,
"type": "other",
"speaker_name": "",
"speaker_title": "",
"speaker": null,
"content": "May 21, 2025 SENATE DEBATES 40"
},
{
"id": 1565859,
"url": "http://info.mzalendo.com/api/v0.1/hansard/entries/1565859/?format=api",
"text_counter": 274,
"type": "other",
"speaker_name": "",
"speaker_title": "",
"speaker": null,
"content": "wanaitwa briefcase, mabegi ya wanakandarasi wanaonyonya na kufyonza jasho za watu wa kaunti. Ni lazima tuwaandame hao pia ili ugatuzi uweze kuafiki malengo ya waasisi wa ugatuzi. Asante, Bw. Naibu wa Spika."
},
{
"id": 1565860,
"url": "http://info.mzalendo.com/api/v0.1/hansard/entries/1565860/?format=api",
"text_counter": 275,
"type": "speech",
"speaker_name": "Sen. Kathuri",
"speaker_title": "Naibu wa Spika",
"speaker": null,
"content": " Salama. Seneta Beatrice Akinyi."
},
{
"id": 1565861,
"url": "http://info.mzalendo.com/api/v0.1/hansard/entries/1565861/?format=api",
"text_counter": 276,
"type": "speech",
"speaker_name": "Sen. Ogola",
"speaker_title": "",
"speaker": null,
"content": "Mr. Deputy Speaker, Sir, I thank you for granting me this opportunity. From the onset, I support the Report on the Division of Revenue Bill, 2025. The Constitution talks about two levels of government; one, the national Government and 47 county governments. These county governments are referred to as distinct with constitutional mandates that must be carried out. From the word go, we would like to tell Kenyans and anyone else who cares to listen that Kenyans are one and there are no Kenyans that we can classify as belonging to the national Government and others belonging to county governments. That is why revenue that is shared between the two levels of government must be done in such a way that the other 47 levels of government are able to operate because they have functions provided to them by Kenyans. I laud one outstanding personality in this Republic; Hon. Raila Amolo Odinga. I am happy that the former Prime Minister will come to the Senate tomorrow to address the Senators. Sen. Nyamu looks surprised, but she should be prepared for tomorrow because the father of devolution will be at the Senate. We are ready to listen to his words of wisdom. He is a man who has a firm belief in devolution. He has supported devolution since then and continues to support it. The former Prime Minister stands with the tenets of devolution even when a number of people are not happy about it."
}
]
}