HTTP 200 OK
Allow: GET, POST, HEAD, OPTIONS
Content-Type: application/json
Vary: Accept
{
"count": 1608389,
"next": "http://info.mzalendo.com/api/v0.1/hansard/entries/?format=api&page=155167",
"previous": "http://info.mzalendo.com/api/v0.1/hansard/entries/?format=api&page=155165",
"results": [
{
"id": 1569852,
"url": "http://info.mzalendo.com/api/v0.1/hansard/entries/1569852/?format=api",
"text_counter": 64,
"type": "speech",
"speaker_name": "Hon. Kingi",
"speaker_title": "The Speaker",
"speaker": null,
"content": " Hon. Senator James (Dr.) Murango, you may ask your two supplementary questions."
},
{
"id": 1569853,
"url": "http://info.mzalendo.com/api/v0.1/hansard/entries/1569853/?format=api",
"text_counter": 65,
"type": "speech",
"speaker_name": "Sen. (Dr.) Murango",
"speaker_title": "",
"speaker": null,
"content": "Asante sana, Bw. Spika. Swali langu la kwanza lilikuwa – kwa takwimu, Waziri apeane zile ada na kodi zote ambazo zinalipwa na wakulima wa majani chai. Nimeona kwamba amejibu na kusema vile Serikali inafanya. Haya yote wanayofanya ni sawa, lakini hakulijibu swali langu. Kulingana na nakala nilizonazo, mkulima wa majani chai, kutoka Serikali kuu mpaka zile za ugatuzi, analipa ada na kodi tofauti tofauti 42. Na nilipokuwa Mwenyekiti wa Kamati ya Kilimo, Mifugo na Uvuvi tulikuwa tumekaa chini na tukaelewana kwamba Serikali itajaribu kuzipunguza. Lakini kwa sababu ambazo sijaelewa, Bw. Waziri hakuziweka wazi. Kwa hivyo, Bw. Spika, kwa swali hilo, sikuridhika na majibu ambayo Bw. Waziri amepeana. Hii ni kwa sababu nilikuwa ninatarajia kama ni taasisi ama halmashauri ya kuchukua kodi, inachukua kodi zaidi ya tano. Halmashauri ya NEMA na taasisi ya AFA zinachukua kodi. Ili tuweze kulijibu swali hili na kuendelea mbele, ninamwomba Bw. Waziri alijibu hili swali. Swali langu la pili ni kwamba, katika Bunge la Kitaifa, kuna nakala ambazo Bw. Waziri alizipeleka pale mwaka huo ambazo zilikuwa zina kodi mpya ambazo zilikuwa zinafaa pia kutozwa wakulima wa kahawa. Hiyo sheria bado iko katika Bunge la Kitaifa. Niko na nakala hapa ambayo ilichapishwa katika Gazeti Rasmi la Serikali. Ningependa kumwuliza Bw. Waziri – kilimo cha msingi, kitatozwa ushuru mpaka lini? Katika nchi ambazo zinaendelea, kilimo cha msingi hakitozwi ushuru ili mkulima aweze kunufaika na kilimo chake."
},
{
"id": 1569854,
"url": "http://info.mzalendo.com/api/v0.1/hansard/entries/1569854/?format=api",
"text_counter": 66,
"type": "speech",
"speaker_name": "Hon. Kingi",
"speaker_title": "The Speaker",
"speaker": null,
"content": " Hon. Cabinet Secretary, you may proceed to respond."
},
{
"id": 1569855,
"url": "http://info.mzalendo.com/api/v0.1/hansard/entries/1569855/?format=api",
"text_counter": 67,
"type": "other",
"speaker_name": "",
"speaker_title": "",
"speaker": null,
"content": "The Cabinet Secretary for the National Treasury and Economic Planning"
},
{
"id": 1569856,
"url": "http://info.mzalendo.com/api/v0.1/hansard/entries/1569856/?format=api",
"text_counter": 68,
"type": "other",
"speaker_name": "",
"speaker_title": "",
"speaker": null,
"content": "(Hon. John Mbadi): Mr. Speaker, Sir, I tried to put together some of the taxes and levies that are put or charged on tea right from the farming level. I put a paragraph. The tea processing, I put a paragraph. Marketing and distribution also put a paragraph. If the Hon. Member has any other levies that need not to be there, I think the best thing to do is to recommend for those levies to be removed. As far as I am concerned, I have enumerated what I am aware of are taxes and levies on tea. I think he has talked about some amendments that are in Parliament to put some charges on coffee. Maybe, Hon. Speaker, with your permission, he can explain again. He can come and repeat the question."
},
{
"id": 1569857,
"url": "http://info.mzalendo.com/api/v0.1/hansard/entries/1569857/?format=api",
"text_counter": 69,
"type": "speech",
"speaker_name": "Sen. (Dr.) Murango",
"speaker_title": "",
"speaker": null,
"content": "Bw. Spika, ukinipa nafasi, nitamwonyesha Bw. Waziri. The electronic version of the Senate Hansard Report is for information purposesonly. A certified version of this Report can be obtained from the Director, Hansard and AudioServices, Senate."
},
{
"id": 1569858,
"url": "http://info.mzalendo.com/api/v0.1/hansard/entries/1569858/?format=api",
"text_counter": 70,
"type": "speech",
"speaker_name": "Hon. Kingi",
"speaker_title": "The Speaker",
"speaker": null,
"content": " Hon. Cabinet Secretary, if you need time to acquaint yourself with that particular document, you may say so."
},
{
"id": 1569859,
"url": "http://info.mzalendo.com/api/v0.1/hansard/entries/1569859/?format=api",
"text_counter": 71,
"type": "other",
"speaker_name": "",
"speaker_title": "",
"speaker": null,
"content": "The Cabinet Secretary for the National Treasury and Economic Planning"
},
{
"id": 1569860,
"url": "http://info.mzalendo.com/api/v0.1/hansard/entries/1569860/?format=api",
"text_counter": 72,
"type": "other",
"speaker_name": "",
"speaker_title": "",
"speaker": null,
"content": "(Hon. John Mbadi): Mr. Speaker, I am trying to check because my understanding was that we were reducing those rates and so it is just demonstrated to me the rates that are on the first schedule and the second schedule. However, my understanding is that those rates were coming down. If they are going up, I may need to check and address that. I am almost certain that the rates were higher than what is being provided. So, what we are trying to do is to reduce the rates to make coffee more competitive."
},
{
"id": 1569861,
"url": "http://info.mzalendo.com/api/v0.1/hansard/entries/1569861/?format=api",
"text_counter": 73,
"type": "speech",
"speaker_name": "Hon. Kingi",
"speaker_title": "The Speaker",
"speaker": null,
"content": " Sen. Edwin Sifuna."
}
]
}