GET /api/v0.1/hansard/entries/?format=api&page=157114
HTTP 200 OK
Allow: GET, POST, HEAD, OPTIONS
Content-Type: application/json
Vary: Accept

{
    "count": 1608389,
    "next": "http://info.mzalendo.com/api/v0.1/hansard/entries/?format=api&page=157115",
    "previous": "http://info.mzalendo.com/api/v0.1/hansard/entries/?format=api&page=157113",
    "results": [
        {
            "id": 1589332,
            "url": "http://info.mzalendo.com/api/v0.1/hansard/entries/1589332/?format=api",
            "text_counter": 373,
            "type": "speech",
            "speaker_name": "Sen. Miraj",
            "speaker_title": "",
            "speaker": null,
            "content": "Bw. Spika, kulingana na gumzo ambalo linaendelea, ni dhahiri shahiri ya kwamba kuna hitilafu katika kutimuliwa kwa Gavana wa Isiolo. Nikiunga mkono kauli za wengi ambao wameweza kuzungumza katika Seneti hii, niweze kuzungumza kinaga ubaga ya kwamba ni dhahiri shahiri pia kuwa Wawakilishi Wadi wa Bunge la Isiolo wako na ari na ushahidi wa kutosha kuonyesha kwamba katika gatuzi la Isiolo, kuna matatizo ambayo yanahitaji Bunge la Seneti kuweza kuwasaidia kuyatatua. Hayo ndio majukumu tuliyotwikwa na Katiba yetu ya Kenya, ni vyema wasitumie njia za mkato kumtimua Gavana aliyechaguliwa na wananchi wa Isiolo."
        },
        {
            "id": 1589333,
            "url": "http://info.mzalendo.com/api/v0.1/hansard/entries/1589333/?format=api",
            "text_counter": 374,
            "type": "speech",
            "speaker_name": "Sen. Miraj",
            "speaker_title": "",
            "speaker": null,
            "content": "Nikifunga changizo zangu, ningependa kuwarai na kuwaomba Maseneta wenzangu ambao wako katika Seneti hii kuwa tuko na majukumu ya kuleta sheria ambayo itawapatia uwepesi Wawakilishi Wadi wetu kuweza kuwaleta Magavana wao hapa. Nina imani kubwa ya kwamba asilimia kubwa ya MCAs na Assembly zetu katika Taifa la Kenya wangependa kuwaleta Magavana wao hapa. Lakini, jinsi sheria zilivyotungwa, hazisaidii mabunge yetu kuweza kuleta lalama zao katika Bunge hili la Seneti. Haiwezekani ya kwamba ushahidi wa kutosha uko mbele yetu lakini kwa sababu The electronic version of the Senate Hansard Report is for information purposesonly. A certified version of this Report can be obtained from the Director, Hansard and AudioServices, Senate."
        },
        {
            "id": 1589334,
            "url": "http://info.mzalendo.com/api/v0.1/hansard/entries/1589334/?format=api",
            "text_counter": 375,
            "type": "speech",
            "speaker_name": "Sen. Miraj",
            "speaker_title": "",
            "speaker": null,
            "content": "ya sheria ambazo tumezitunga sisi kama wajumbe katika Taifa hili, zinaweka vikwazo na kutufanya kuwa hatuwezi kuingia kuangalia ushahidi ule. Sheria lazima isimame kwa sababu msumeno unakata mbele na nyuma."
        },
        {
            "id": 1589335,
            "url": "http://info.mzalendo.com/api/v0.1/hansard/entries/1589335/?format=api",
            "text_counter": 376,
            "type": "speech",
            "speaker_name": "Hon. Kingi",
            "speaker_title": "The Speaker",
            "speaker": null,
            "content": " Sen. Mundigi."
        },
        {
            "id": 1589336,
            "url": "http://info.mzalendo.com/api/v0.1/hansard/entries/1589336/?format=api",
            "text_counter": 377,
            "type": "speech",
            "speaker_name": "Sen. Munyi Mundigi",
            "speaker_title": "",
            "speaker": null,
            "content": "Asante, Bw. Spika, kwa kunipa nafasi ya kuchangia mjadala wa kutimua Gavana wa Isiolo. Si vizuri sana kwa sababu kuna mipangilio pale mwanzo Wawakilishi wa Wadi wangepanga ili wawe na kikao kwa bunge la kaunti. Haionyeshi vizuri vile walikaa kwa sababu, katika sheria, kuna pahali wangekaa. Kwa miaka mingi wakati wawakilishi wadi na councillors wakitaka kutimua yeyote, walikua wanaenda wanajificha mahali, lakini hakuna mahali hayo yalikua yanazungumziwa. Lakini, siku ya mwisho ya kikao, hata kama kuna vita vya mishale au bunduki, ni mpaka wangeingia kwa kile kikao ili kuonekana wanafanya kazi gani. Ninaunga mkono Gavana arudishwe kwa sababu, kuna mambo hayajafuatiliwa. Ningetaka kumwambia rafiki yangu, Sen. Eddy, kwamba haimaanishi hatujafuata njia ile inafaa. Kwa Bibilia na Quran, kuna mtu mmoja alijenga nyumba kwa mawe na mwingine akajenga kwa mchanga na wakati mvua ilinyesha, ile nyumba ya mchanga ilianguka. Kwa hivyo, wacha hii nyumba ya Wawakilishi Wadi wa Isiolo iteremke ili iwe funzo kwa kaunti zote 47 ndio wawe na mwanzo wa kufatilia sheria ya kutimua magavana. Ningependa kujibu Kiongozi wa Wengi, Sen. Cheruiyot, kwa mambo yale amesema kwamba kuna tofauti ya Kericho na Isiolo. Ningependa kumueleza kwamba hakuna totafauti kwa sababu ile haikua na mmoja na ikatemwa mbali. Hii naye kutoka mwanzo, hakuna pahali inaonyesha vile wangetimua yule Gavana. Ningependa kujibu Sen. Joyce aliyesema tunatupa wakati. Seneti saa hizi haijatupa wakati sababu tuko Maseneta 67 na tunataka kuonyesha nchi ya Kenya na wanaotuangalia kwamba tuko na ukweli wa kuchambua mambo ya Seneti na watu wengine wakitimua gavana, watafuata njia ile inafaa. Bw. Spika wa Muda, nikimalizia, ninasema turudishe Gavana. Tumejua mambo mengi lakini tunamuomba Gavana akirudi pale - Bibilia inaseme watu wawili hawawezi kutembea bila kuelewana - akae chini na Wawakilishi Wadi, waelewane ndio kaunti ya Isiolo iendelee vizuri. Kwa Wawakilishi Wadi, kama Gavana hataenda wakae kikao kimoja ili kubadilisha Isiolo, tungewaomba wamrudishe na tutamtimua kama watafata ile njia inafaa."
        },
        {
            "id": 1589337,
            "url": "http://info.mzalendo.com/api/v0.1/hansard/entries/1589337/?format=api",
            "text_counter": 378,
            "type": "speech",
            "speaker_name": "Hon. Kingi",
            "speaker_title": "The Speaker",
            "speaker": null,
            "content": " Sen. Wakili Sigei."
        },
        {
            "id": 1589338,
            "url": "http://info.mzalendo.com/api/v0.1/hansard/entries/1589338/?format=api",
            "text_counter": 379,
            "type": "speech",
            "speaker_name": "Sen. Wakili Sigei",
            "speaker_title": "",
            "speaker": null,
            "content": "Thank you, Mr. Speaker, Sir, allow me to read an excerpt from a decision on court on impeachments. The court said- “Impeachments are vested in the county assemblies and the Senate to check the executive powers and ensure good governance. It is a means of trying the governors for offences they may perpetrate while in office. It is an additional sanction for wrongdoing.” I read that excerpt because I have agonized over the debate that is going on in the House as regards the preliminary objection. The Mover of this Motion, the Senate Majority Leader, ran us through what he also felt is a struggle with the challenge that is existing in the County of Isiolo. Reading through parts of the documents, which The electronic version of the Senate Hansard Report is for information purposesonly. A certified version of this Report can be obtained from the Director, Hansard and AudioServices, Senate."
        },
        {
            "id": 1589339,
            "url": "http://info.mzalendo.com/api/v0.1/hansard/entries/1589339/?format=api",
            "text_counter": 380,
            "type": "speech",
            "speaker_name": "Sen. Wakili Sigei",
            "speaker_title": "",
            "speaker": null,
            "content": "unfortunately we have not gone through substantively, there is indeed a challenge. There are areas where we have the people of Isiolo having genuine and valid concerns about governance, a subject which impeachments are meant to do. When in the morning I sought clarification on two issues from the Counsel for the County Assembly as well as the Counsel for the Governor, it was to clear the aspects in my mind with regard to the issue which we are now debating, whether there was any sitting or not. The response I got from the respective counsels led me to look at the Standing Orders of the County Assembly of Isiolo. Part 25 of the Standing Orders of the County Assembly of Isiolo provides on the journal, the records and the proceedings and the custodian of those proceedings. It guides us to understand, especially in the form and manner of the documents which have been filed by the Governor as well as the County Assembly in this House and whether there was a sitting on 18th and 26th June, 2025. In these records, contrary to the response that I got, there is an aspect that is still not clear on my mind. This aspect speaks to the substantive issue which, with a heavy heart, we are called upon as a House to determine at a preliminary stage, whether we proceed or we terminate."
        },
        {
            "id": 1589340,
            "url": "http://info.mzalendo.com/api/v0.1/hansard/entries/1589340/?format=api",
            "text_counter": 381,
            "type": "speech",
            "speaker_name": "Hon. Kingi",
            "speaker_title": "The Speaker",
            "speaker": null,
            "content": " Sen. Veronica."
        },
        {
            "id": 1589341,
            "url": "http://info.mzalendo.com/api/v0.1/hansard/entries/1589341/?format=api",
            "text_counter": 382,
            "type": "speech",
            "speaker_name": "Sen. Veronica Maina",
            "speaker_title": "",
            "speaker": null,
            "content": "Mr. Speaker, Sir, thank you for this opportunity. At the very onset, any time you find impeachment proceedings knocking at the door of the Senate, it means that there is some fire burning somewhere in that county. Looking at the question that has come before this House on whether there was a sitting on the specific days or no sitting, we have been presented a video evidence, which was not fully backed."
        }
    ]
}