HTTP 200 OK
Allow: GET, POST, HEAD, OPTIONS
Content-Type: application/json
Vary: Accept
{
"count": 1608389,
"next": "http://info.mzalendo.com/api/v0.1/hansard/entries/?format=api&page=337",
"previous": "http://info.mzalendo.com/api/v0.1/hansard/entries/?format=api&page=335",
"results": [
{
"id": 3351,
"url": "http://info.mzalendo.com/api/v0.1/hansard/entries/3351/?format=api",
"text_counter": 196,
"type": "speech",
"speaker_name": "Dr. Shaban",
"speaker_title": "The Minister for Gender, Children and Social Development",
"speaker": {
"id": 139,
"legal_name": "Naomi Namsi Shaban",
"slug": "naomi-shaban"
},
"content": "(c) Wale 600 wote walionufaika katika mwaka wa kifedha uliopita wanaendelea kuwa kwenye orodha ya kulipwa kupitia posta ya mwezi huu wa Disemba. Itakapokamilika, orodha hiyo,watawezwa kulipwa kupitia kwa posta."
},
{
"id": 3352,
"url": "http://info.mzalendo.com/api/v0.1/hansard/entries/3352/?format=api",
"text_counter": 197,
"type": "speech",
"speaker_name": "Dr. Nuh",
"speaker_title": "",
"speaker": {
"id": 114,
"legal_name": "Nuh Nassir Abdi",
"slug": "nuh-abdi"
},
"content": "Bw. Naibu Spika wa Muda, katika orodha niliyowasilisha kwa Waziri, orodha la walengwa katika kata ya Madogo walikuwa 213, na kati ya hao, 150 walilipwa pesa hizo mwezi wa Aprili na mwezi wa sita. Afisa wa watoto katika Eneo Bunge la Bura alikuwa akitoa fomu ya kuwasajili watu hawa 150. Inadaiwa na wananchi kwamba kati ya wale 150 waliolipwa katika Madogo, na wale 167 katika Kata ya Bura waliwachwa kupewa fomu hizo na afisa wa watoto, akidai kwamba shida iko katika ofisi kuu Nairobi. Kwa hivyo, Waziri anaweza kuwahakikishia wale watu 600 waliolipwa pesa hizi katika Eneo Bunge la Bura, 150, Madogo na wale wa Bura wote, wako katika orodha na hawataachwa nje?"
},
{
"id": 3353,
"url": "http://info.mzalendo.com/api/v0.1/hansard/entries/3353/?format=api",
"text_counter": 198,
"type": "speech",
"speaker_name": "Dr. Shaban",
"speaker_title": "",
"speaker": {
"id": 139,
"legal_name": "Naomi Namsi Shaban",
"slug": "naomi-shaban"
},
"content": "Bw. Naibu Spika wa Muda, watu walioorodheshwa wakati wa usajili wa kwanza katika kata ya Madogo walikuwa 213, lakini waliolipwa kutegemea pesa ambazo zilipatikana walikuwa 150. Katika Bura, walioandikishwa walikuwa 314, katika kata hiyo waliolipwa walikuwa 213. Ningetaka kutaja kwamba ijapokuwa watu wote Bura waliosajiliwa mara ya kwanza walikuwa 854; pesa zilizopatikana---"
},
{
"id": 3354,
"url": "http://info.mzalendo.com/api/v0.1/hansard/entries/3354/?format=api",
"text_counter": 199,
"type": "speech",
"speaker_name": "Dr. Shaban",
"speaker_title": "",
"speaker": {
"id": 139,
"legal_name": "Naomi Namsi Shaban",
"slug": "naomi-shaban"
},
"content": "Mhe Naibu Spika wa Muda, hatuelewani. Watu wanazungumza kwa sauti ya juu sana."
},
{
"id": 3355,
"url": "http://info.mzalendo.com/api/v0.1/hansard/entries/3355/?format=api",
"text_counter": 200,
"type": "scene",
"speaker_name": "",
"speaker_title": "",
"speaker": null,
"content": "(Loud consultations)"
},
{
"id": 3356,
"url": "http://info.mzalendo.com/api/v0.1/hansard/entries/3356/?format=api",
"text_counter": 201,
"type": "speech",
"speaker_name": "Mr. Imanyara",
"speaker_title": "The Temporary Deputy Speaker",
"speaker": {
"id": 22,
"legal_name": "Gitobu Imanyara",
"slug": "gitobu-imanyara"
},
"content": " Order, hon. Members. Endelea Waziri."
},
{
"id": 3357,
"url": "http://info.mzalendo.com/api/v0.1/hansard/entries/3357/?format=api",
"text_counter": 202,
"type": "speech",
"speaker_name": "Dr. Shaban",
"speaker_title": "",
"speaker": {
"id": 139,
"legal_name": "Naomi Namsi Shaban",
"slug": "naomi-shaban"
},
"content": "Bw. Naibu Spika wa Muda, watu waliosajiliwa kwa ujumla katika wilaya ya Bura walikuwa 854, lakini kwa kutegemea pesa tulizopata, watu 600 pekee ndio wamekuwa wakilipwa. Hawa watu 150 kutoka Madogo wataendelea kulipwa, ijapokuwa kumekuwa na kucheleweshwa kwa malipo kwa sababu ya shughuli za kuwasajili kupitia kwa mpango na mtandao uliyoko katika posta. Vile vile, watu 213 katika kata ya Bura wamekuwa wakilipwa, na mwezi huu wa Disemba hautaisha kabla hawajalipwa. Nataka kuwahakikishia watu wote wa Bura, ambao wamekuwa wakipata pesa hizo katika mradi huu, kwamba pesa zao zipo na wataendelea kupata haki yao bila shida. Tatizo lilitokea kuchelewesha malipo kwa sababu ya usajili na posta. Asante sana."
},
{
"id": 3358,
"url": "http://info.mzalendo.com/api/v0.1/hansard/entries/3358/?format=api",
"text_counter": 203,
"type": "speech",
"speaker_name": "Dr. Monda",
"speaker_title": "",
"speaker": {
"id": 83,
"legal_name": "Robert Onsare Monda",
"slug": "robert-monda"
},
"content": "Mr. Temporary Deputy Speaker, Sir, our Constitution talks about the Government not discriminating against any member of the population of this country. The Minister has talked about some parts of this country being registered to benefit from this programme that targets orphans and vulnerable children. Could she inform the House what she is doing to ensure that all the children who fall under these categories benefit from this programme, so that there is no discrimination and service to a few members of the country while others are suffering, with the Government showing no concern?"
},
{
"id": 3359,
"url": "http://info.mzalendo.com/api/v0.1/hansard/entries/3359/?format=api",
"text_counter": 204,
"type": "speech",
"speaker_name": "Dr. Shaban",
"speaker_title": "",
"speaker": {
"id": 139,
"legal_name": "Naomi Namsi Shaban",
"slug": "naomi-shaban"
},
"content": "Mr. Temporary Deputy Speaker, Sir, I just want to point out that we have been scaling up slowly in the whole country depending on the amount of money we get from Treasury. We started off with a few homes and beneficiaries who numbered 300."
},
{
"id": 3360,
"url": "http://info.mzalendo.com/api/v0.1/hansard/entries/3360/?format=api",
"text_counter": 205,
"type": "scene",
"speaker_name": "",
"speaker_title": "",
"speaker": null,
"content": "(Loud consultations)"
}
]
}