{"id":1028831,"url":"http://info.mzalendo.com/api/v0.1/hansard/entries/1028831/?format=json","text_counter":111,"type":"speech","speaker_name":"Sen. Faki","speaker_title":"","speaker":{"id":13211,"legal_name":"Mohamed Faki Mwinyihaji","slug":"mohamed-faki-mwinyihaji-2"},"content":"Kamati ya Haki, Maswala ya Sheria na Haki za Kibinadamu ya Seneti iliweza kumuita nafikiri Mwanasheria Mkuu kuja kuzungumzia swala hilo, na mpaka sasa hatujaweza kupata utatuzi kuhusiana na suala la kuajiriwa kwa Majaji 41."}