{"id":1033733,"url":"http://info.mzalendo.com/api/v0.1/hansard/entries/1033733/?format=json","text_counter":350,"type":"speech","speaker_name":"Sen. Kwamboka","speaker_title":"","speaker":{"id":9246,"legal_name":"Beatrice Kwamboka Makori","slug":"beatrice-kwamboka-makori"},"content":"Asante, Bi. Spika wa Muda, kwa kunipa hii fursa kuchangia Hotuba ya Rais wa Jamhuri ya Kenya, aliyohotubia Bunge zote mbili."}