{"id":1073015,"url":"http://info.mzalendo.com/api/v0.1/hansard/entries/1073015/?format=json","text_counter":189,"type":"speech","speaker_name":"Sen. Cheruiyot","speaker_title":"","speaker":{"id":13165,"legal_name":"Aaron Kipkirui Cheruiyot","slug":"aaron-cheruiyot"},"content":"Kiongozi wa kwanza ni Dr. Tulia Ackson, ambaye ni Naibu wa Spika katika Bunge la Tanzania. Kwa wale ambao hushiriki michezo ya mwisho wa mwaka miongoni mwa Mataifa ya Jumuia ya Afrika Mashariki, mnajua yeye hupenda riadha. Mbali na"}