{"id":1076107,"url":"http://info.mzalendo.com/api/v0.1/hansard/entries/1076107/?format=json","text_counter":241,"type":"speech","speaker_name":"Nyali, Independent","speaker_title":"Hon. Mohamed Ali","speaker":{"id":13455,"legal_name":"Mohammed Ali Mohamed","slug":"mohamed-ali-mohamed"},"content":" Ahsante sana Mhe. Spika. Wakati ambao ulinihitaji sikuwepo kwa sababu ya sherehe ya Eid-ul-Fitr, lakini leo nina furaha kwa sababu umenipatia nafasi ya kujitetea. The electronic version of the Official Hansard Report is for information purposesonly. A certified version of this Report can be obtained from the Hansard Editor."}