{"id":1083559,"url":"http://info.mzalendo.com/api/v0.1/hansard/entries/1083559/?format=json","text_counter":264,"type":"speech","speaker_name":"Hon. (Ms.) Zuleikha Hassan","speaker_title":"","speaker":{"id":13130,"legal_name":"Zuleikha Juma Hassan","slug":"zuleikha-juma-hassan"},"content":"ama mwanamke kwa mwanamke, kwa sababu bado jamii haijakubali. Kwa hivyo, hiyo ndio wasiwasi yangu kwamba hiyo itatumiwa kama njia ya watu kama hao kupata mtoto. Kwa hayo mengi na machache, shukran kwa nafasi hiyo."}