{"id":1098868,"url":"http://info.mzalendo.com/api/v0.1/hansard/entries/1098868/?format=json","text_counter":310,"type":"speech","speaker_name":"Sen. Kwamboka","speaker_title":"","speaker":{"id":9246,"legal_name":"Beatrice Kwamboka Makori","slug":"beatrice-kwamboka-makori"},"content":"Kwa kweli, ni uchungu kuona mambo yanayoendelea huko Kaunti ya Laikipia. Kuna makabiliano, huku watu na hata watoto wanakufa."}