{"id":1102183,"url":"http://info.mzalendo.com/api/v0.1/hansard/entries/1102183/?format=json","text_counter":67,"type":"speech","speaker_name":"Sen. Madzayo","speaker_title":"","speaker":{"id":679,"legal_name":"Stewart Mwachiru Shadrack Madzayo","slug":"stewart-mwachiru-shadrack-madzayo"},"content":"Asante, Bi. Naibu wa Spika. Kwa niaba yangu na kwa niaba ya watu wote wa Kaunti ya Kilifi, ninatoa rambirambi zangu kwa familia, jamii na marafiki wa Sen. Prengei."}