{"id":1145386,"url":"http://info.mzalendo.com/api/v0.1/hansard/entries/1145386/?format=json","text_counter":108,"type":"scene","speaker_name":"","speaker_title":"","speaker":null,"content":"alivyoniambia. Pia, NPRs walioko hawapati silaha na marupurupu ya kuwawezesha kufanya kaziwanayotakiwa kufanya. Hilo nitamwambia Waziri ili aharakishe. Nitashikanisha swali hilopamoja na suala la ukosefu wa usalama. NPRs wanahitajika kusaidia wanainchi ili wawachekupata shida wanazozipata."}