{"id":1157331,"url":"http://info.mzalendo.com/api/v0.1/hansard/entries/1157331/?format=json","text_counter":79,"type":"speech","speaker_name":"Sen. Mwaruma","speaker_title":"","speaker":{"id":13223,"legal_name":"Johnes Mwashushe Mwaruma","slug":"johnes-mwashushe-mwaruma"},"content":"ambayo imetolewa na Seneta wa Kaunti ya Vihiga, Sen. Khaniri, inayohusu Mto Mara. Ni jambo la kutia moyo kwamba bado kuna watu Kenya ambao wanathamini utamaduni wetu na mbuga za wanyama kama vivutio vikuu vya utalii."}