{"id":1160861,"url":"http://info.mzalendo.com/api/v0.1/hansard/entries/1160861/?format=json","text_counter":127,"type":"speech","speaker_name":"Sen. Kinyua","speaker_title":"The Temporary Speaker","speaker":{"id":13202,"legal_name":"John Kinyua Nderitu","slug":"john-kinyua-nderitu-2"},"content":" Katika Taarifa yangu ambayo nilisoma, tulisema kumekuwa na changamoto wakati Taarifa imeandikwa kwa lugha ya Kiingereza alafu unajaribu kuinukuu kwa lugha ya Kiswahili. Sen. Madzayo, ningependa usome vile ambavyo imeandikwa kwa sababu wakati"}