{"id":1169305,"url":"http://info.mzalendo.com/api/v0.1/hansard/entries/1169305/?format=json","text_counter":296,"type":"speech","speaker_name":"Sen. Faki","speaker_title":"","speaker":{"id":13211,"legal_name":"Mohamed Faki Mwinyihaji","slug":"mohamed-faki-mwinyihaji-2"},"content":"Bi. Spika wa Muda, kulinda haki za watoto na kuwawekea masilahi bora ndio lengo kuu la sheria hii. Ni jukumu letu sisi kama Senate kuweza kupitisha sheria hii ili kuweza kuona kwamba masilahi ya watoto yamelindwa."}