{"id":1197697,"url":"http://info.mzalendo.com/api/v0.1/hansard/entries/1197697/?format=json","text_counter":239,"type":"speech","speaker_name":"Sen. Kinyua","speaker_title":"","speaker":{"id":13202,"legal_name":"John Kinyua Nderitu","slug":"john-kinyua-nderitu-2"},"content":"Bw. Naibu wa Spika, mambo ya Kaunti ya Meru yanapaswa kuangaliwa kwa kina. Wakae chini na waelewane."}