{"id":1235474,"url":"http://info.mzalendo.com/api/v0.1/hansard/entries/1235474/?format=json","text_counter":185,"type":"speech","speaker_name":"Sen. Mundigi","speaker_title":"","speaker":{"id":13586,"legal_name":"Alexander Mundigi Munyi","slug":"alexander-mundigi-munyi"},"content":"Asante, Bw. Spika. CS, tunaomba mashinani kuwe na wazee wanaochaguliwa kuangalia na kupitisha mambo ya mashamba. Kule vijijini, mambo haya yamekuwa na siasa za Members of Parliament (MPs). Bw. CS, ninakuomba, kama kuna uwezekano, kila sub county, kwa sababu ya vile vita viko kule, uwe ukiangalia---"}