{"id":1245458,"url":"http://info.mzalendo.com/api/v0.1/hansard/entries/1245458/?format=json","text_counter":172,"type":"speech","speaker_name":"Sen. Faki","speaker_title":"","speaker":{"id":13211,"legal_name":"Mohamed Faki Mwinyihaji","slug":"mohamed-faki-mwinyihaji-2"},"content":"aani, pesa ambazo zinatoka kwa Serikali Kuu zinakuja kwa serikali za kaunti. Mwishowe alikubali kwamba hakuna Kshs425 milioni ambazo ni za maktaba. Watatafuta katika fedha zao zingine lakini katika zile za mgao wa kitaifa, ni Kshs385,425,000,000."}