{"id":1275855,"url":"http://info.mzalendo.com/api/v0.1/hansard/entries/1275855/?format=json","text_counter":379,"type":"speech","speaker_name":"Sen. Faki","speaker_title":"","speaker":{"id":13211,"legal_name":"Mohamed Faki Mwinyihaji","slug":"mohamed-faki-mwinyihaji-2"},"content":"Asante Bw. Spika wa Muda kwa kunipa fursa hii kuchangia Mswada wa marekebisho wa Sheria ya Fedha ya 2023. Kwanza ningependa kusema ya kwamba naunga mkono marekebisho haya lakini ningependa kufanywe mabadiliko katika"}