{"id":1282549,"url":"http://info.mzalendo.com/api/v0.1/hansard/entries/1282549/?format=json","text_counter":173,"type":"speech","speaker_name":"Sen. Faki","speaker_title":"","speaker":{"id":13211,"legal_name":"Mohamed Faki Mwinyihaji","slug":"mohamed-faki-mwinyihaji-2"},"content":"Tuliona jana katika vyombo vya habari akitishia kupeleka watu mbinguni. Yeye sio Yesu wala mtume. Sisi sote ni wananchi na binadamu wa Kenya. Iwapo kuna mambo yoyote ambayo yanatakiwa kuzungumzwa, yazungumzwe kwa njia ya mijadala"}