{"id":1283909,"url":"http://info.mzalendo.com/api/v0.1/hansard/entries/1283909/?format=json","text_counter":311,"type":"speech","speaker_name":"Sen. Miraj","speaker_title":"","speaker":null,"content":"Sisi kama wenzake ambao anatarajia kuwa tutamtetea, tumekuja hapa na bunduki na maneno ya kejeli na nyundo, tayari kumgonga. Naomba ikiwa kuna suluhu ya kumsaidia Sen. Orwoba, apelekwe katika zahanati aweze kupimwa kama ni mzima."}