{"id":1356610,"url":"http://info.mzalendo.com/api/v0.1/hansard/entries/1356610/?format=json","text_counter":429,"type":"speech","speaker_name":"Sen. (Dr.) Murango","speaker_title":"","speaker":{"id":13585,"legal_name":"Murango James Kamau","slug":"murango-james-kamau"},"content":"Asante Bw. Spika wa Muda. Ningependa kuwasilisha Mswada wa Kahawa wa 2023. Nimeudhamini kwa sababu ya wakulima wa kahawa nchini."}