{"id":1368176,"url":"http://info.mzalendo.com/api/v0.1/hansard/entries/1368176/?format=json","text_counter":84,"type":"speech","speaker_name":"Sen. Boy","speaker_title":"","speaker":{"id":13200,"legal_name":"Issa Juma Boy","slug":"issa-juma-boy"},"content":"Asante Bw. Spika kwa kunipa fursa hii. Kwanza, natoa shukrani zangu za dhati kwa Waziri wa Afya kwa kutupatia fursa sisi watu wa Kaunti ya Kwale. Kama Seneta wa Kaunti ya Kwale, pia natoa shukrani kwa niaba ya watu wa Kwale. Siku ya"}