{"id":1420634,"url":"http://info.mzalendo.com/api/v0.1/hansard/entries/1420634/?format=json","text_counter":84,"type":"speech","speaker_name":"Sen. Mwaruma","speaker_title":"","speaker":{"id":13223,"legal_name":"Johnes Mwashushe Mwaruma","slug":"johnes-mwashushe-mwaruma"},"content":"Mara nyingine Mdhibiti wa Bajeti anapitisha pesa zilipwe kwa wanakandarasi. Lakini, anapopitisha malipo, hayalipwi kulingana na vile yamepitishwa, bali yanaenda kufanya mambo tofauti. Nafikiri ni vizuri Mhasibu Mkuu aangalie kwa ukaribu ni kwa nini kuna kuwa na voided payments . Jana kulikuwa na Taarifa ya Seneta wa Kisii akiuliza ni kwa nini kuna kuwa na"}