{"id":1421081,"url":"http://info.mzalendo.com/api/v0.1/hansard/entries/1421081/?format=json","text_counter":271,"type":"speech","speaker_name":"Sen. Faki","speaker_title":"","speaker":{"id":13211,"legal_name":"Mohamed Faki Mwinyihaji","slug":"mohamed-faki-mwinyihaji-2"},"content":"kuongeza bei ya bidhaa katika nchi yetu kwa sababu benki nyingi zitakuwa zinakopesha Serikali pesa kuliko kukopesha wananchi ambapo itakuwa shida kupata malipo hayo. Sen. Sifuna alichangia kwa kusema kwamba tumepuuza mapendekezo ya Institute"}