{"id":144261,"url":"http://info.mzalendo.com/api/v0.1/hansard/entries/144261/?format=json","text_counter":154,"type":"other","speaker_name":"","speaker_title":"","speaker":null,"content":"Kuhusu mambo ya fidia, uchunguzi utafanywa na Serikali itafikiria jambo hilo. Hatuwezi kutoa hakikisho kwamba fidia italipwa bila uchunguzi kufanywa."}