{"id":1463753,"url":"http://info.mzalendo.com/api/v0.1/hansard/entries/1463753/?format=json","text_counter":88,"type":"speech","speaker_name":"Nakuru County, UDA","speaker_title":"Hon. Liza Chelule","speaker":null,"content":" Asante sana, Mhe. Spika kwa kunipatia hii nafasi nami nichangie Ombi ambalo limeletwa Bungeni na daktari mmoja katika nchi yetu ya Kenya kuhusu mauaji ya watu au mtu binafsi kuchukua nafasi..."}