{"id":1497903,"url":"http://info.mzalendo.com/api/v0.1/hansard/entries/1497903/?format=json","text_counter":63,"type":"speech","speaker_name":"Kipipiri, UDA","speaker_title":"Hon. Wanjiku Muhia","speaker":null,"content":"Nataka kusema mimi ni Mwenyekiti kwa wakati huu, kabla nitolewe. Nachukuwa nafasi hii kuwakaribisha ili wajionee. Kwa kiingereza tunasema katika Jumuiya tunashirikiana kwa kuteremsha na kupanua ushirikiano (Deepen and widen the intergration)."}