{"id":1557048,"url":"http://info.mzalendo.com/api/v0.1/hansard/entries/1557048/?format=json","text_counter":477,"type":"speech","speaker_name":"Mombasa County, ODM","speaker_title":"Hon. Zamzam Mohammed","speaker":null,"content":"Huyu kijana amefanya mabadiliko makubwa sana ndani ya Kaunti ya Kilifi. Wale vijana wa bodaboda, ambao siku zote wanachukuliwa kama watu wabaya, amewachukua na kuwaweka kwenye Savings and Credit Cooperative Organisation ( SACCO ). Akawaletea"}