{"id":1560003,"url":"http://info.mzalendo.com/api/v0.1/hansard/entries/1560003/?format=json","text_counter":994,"type":"speech","speaker_name":"Likoni, ODM","speaker_title":"Hon. Mishi Mboko","speaker":null,"content":"Kwa hivyo, hili ni suala nyeti sana. Sio jambo rahisi. Ni suala nyeti ambalo linahitaji mazungumzo ya kina na ushirikiano wa karibu kati ya Wakenya na Wabunge wanaowawakilisha ili kusudi wakati tunathibitisha ile tunaita kwa lugha ya Kiingereza"}