{"id":1562952,"url":"http://info.mzalendo.com/api/v0.1/hansard/entries/1562952/?format=json","text_counter":92,"type":"speech","speaker_name":"Sen. Chimera","speaker_title":"","speaker":null,"content":"Bw. Spika, kifo ni uchungu sana na sisi sote tutapitia safari hiyo. Ninawaomba tu Wakenya waache kuwa na semi na hisia zile. Tuwape fursa watu wa vyombo vya usalama wafanye uchunguzi wa kina. Watakaopatikana na hatia, hatua kali za kisheria zitachukuliwa kuhakikisha familia ya Mhe. Were imepata haki."}