{"id":156457,"url":"http://info.mzalendo.com/api/v0.1/hansard/entries/156457/?format=json","text_counter":353,"type":"other","speaker_name":"","speaker_title":"","speaker":null,"content":"sawa na tukawa na wasiwasi nao. Kenya hii tumetoka mbali na naomba watu washikane na tufanye kazi pamoja, tuwache uzushi, tufanye kazi na wenzetu kwa upendo. Kwa hayo machache, naunga mkono."}