{"id":1625164,"url":"http://info.mzalendo.com/api/v0.1/hansard/entries/1625164/?format=json","text_counter":379,"type":"speech","speaker_name":"Sen. (Dr.) Murango","speaker_title":"","speaker":null,"content":"Mstahiki Spika wa Muda, mimi ni Mlokole. Ninaamini sijafanya mambo mengi kuwa malaika lakini ninajua sijakosea sana kuwa ibilisi. Ndipo wakati mwingi katika maombi yangu huwa ninamwambia Mungu atuepishe na bangi na viroba vya ugoro kwa sababu maneno yanayofanywa wakati mwingine na viongozi hata wewe huwezi kuyafikiria."}