{"id":1625172,"url":"http://info.mzalendo.com/api/v0.1/hansard/entries/1625172/?format=json","text_counter":387,"type":"speech","speaker_name":"Sen. (Dr.) Murango","speaker_title":"","speaker":null,"content":"shule ya chekechea na kuweka picha yake mlangoni. Kuliko kufanya watoto waje, wanatoroka. Umuhimu wa hizo picha zote ni nini? Bw. Spika wa Muda, nitamaliza hapo ili wenzangu waweze kuongea. Sen. Mariam ananieleza kuwa wakati uko karibu kuisha. Kwa hivyo, nitaachia hapo ili wenzangu waweze kuongea. Asante sana."}