{"id":18883,"url":"http://info.mzalendo.com/api/v0.1/hansard/entries/18883/?format=json","text_counter":560,"type":"other","speaker_name":"","speaker_title":"","speaker":null,"content":"tungekuwa tumejiandaa vya kutosha kama tungekuwa na hivi vifaa. Tungejiandaa ya kutosha kwa utalaamu na ufahamu wa hali ya angani na chini. Nina imani kuwa watu wangekuwa wamepewa tahadhari mapema na kujiondoa kutoka sehemu za dhoruba mapema."}