{"id":190320,"url":"http://info.mzalendo.com/api/v0.1/hansard/entries/190320/?format=json","text_counter":36,"type":"speech","speaker_name":"Mr. Lesrima","speaker_title":"The Assistant Minister, Ministry of State for Provincial Administration and Internal Security","speaker":{"id":178,"legal_name":"Simon Saimanga Lesirma","slug":"simon-lesirma"},"content":" Bw. Spika, kuna kazi ambayo inaendelea na sitaki watu wengine walitumie Bunge hili kutoboa siri za Serikali. Serikali inachukua hatua kuangalia maisha ya watu wa sehemu yangu. Kuna kazi inapangwa japo sina jibu. Sitaki kazi ambayo inafanywa wakati huu-- -"}