{"id":198629,"url":"http://info.mzalendo.com/api/v0.1/hansard/entries/198629/?format=json","text_counter":536,"type":"speech","speaker_name":"Mr. Ababu Namwamba","speaker_title":"The Member of Parliament for Budalangi","speaker":{"id":108,"legal_name":"Ababu Tawfiq Pius Namwamba","slug":"ababu-namwamba"},"content":" Mimi, Ababu Namwamba, naapa ya kwamba nitakuwa mwaminifu kwa Jamhuri ya Kenya na kuitumikia kwa moyo wangu wote na kwamba nitahifadhi, nitailinda na kuitetea Katiba ya Kenya kwa mujibu wa sheria iliyowekwa."}