{"id":294081,"url":"http://info.mzalendo.com/api/v0.1/hansard/entries/294081/?format=json","text_counter":388,"type":"speech","speaker_name":"Ms. Leshomo","speaker_title":"","speaker":{"id":379,"legal_name":"Maison Leshoomo","slug":"maison-leshoomo"},"content":"Asante sana, Bw. Naibu Spika. Ningependa kumuuliza Waziri Msaidizi kama binadamu ni wa maana kuliko wanyama pori. Wakati ndovu wanauwawa na kutolewa pembe ama wanyama wengine wanauwawa, maofisa wa Kenya Wildlife"}