{"id":296968,"url":"http://info.mzalendo.com/api/v0.1/hansard/entries/296968/?format=json","text_counter":10,"type":"speech","speaker_name":"Mr. Yakub","speaker_title":"","speaker":{"id":378,"legal_name":"Sheikh Yakub Muhammad Dor","slug":"sheikh-dor"},"content":"Asante, Bw. Spika. Zaidi ya rufani hii ya watu wa Siu ambayo imewasilishwa mbele ya Bunge hili na Dr. Nuh, Pia ningependa kuwasilisha stakabadhi hapa ambayo inaonyesha baadhi ya kurasa katika rufani hiyo zimeondolewa. Kwa mfano,"}