{"id":318232,"url":"http://info.mzalendo.com/api/v0.1/hansard/entries/318232/?format=json","text_counter":384,"type":"speech","speaker_name":"Mr. Mwadhegu","speaker_title":"","speaker":{"id":98,"legal_name":"Thomas Ludindi Mwadeghu","slug":"thomas-mwadeghu"},"content":"Bw. Spika, naomba nichukue nafasi hii kutoa msimamo wangu kuhusu jambo hili ambalo nimeliona katika mojawapo ya magazeti kuwa Wabunge walihongwa kwa kiasi cha fedha Ksh30,000 ili kuhakikisha kwamba wale waliotajwa, wakiwemo mhe. Kimunya"}