{"id":394686,"url":"http://info.mzalendo.com/api/v0.1/hansard/entries/394686/?format=json","text_counter":76,"type":"speech","speaker_name":"Sen. Mbura","speaker_title":"","speaker":{"id":13153,"legal_name":"Emma Mbura Getrude","slug":"emma-mbura-getrude"},"content":"Bw. Naibu Spika, pia nataka kusisitiza kuwa haya yote tunayoyaongea hapa yamesababishwa na utawala uliopita na wanasiasa ambao matumbo yao mpaka dakika hii sioni kama yameshiba na wala hayatashiba. Hii ni kwa sababu nakumbuka zamani"}